Njoo tukutane kwenye kona pale ya kuelekea
Hahahaa unajua kwanza umeniacha hoi na huyo mwenza wako, pili hili langu namtaka mwenye mapenzi ya dhati. Sitaki msanii
My daughter unaniruhusu ku voluntia...!?? kwa nia njema kabisa.
Njoo tukutane kwenye kona pale ya kuelekea
Umesema..!? Do you know the rules for dating my daughter..!?
Kufanya nini tena?
Afu wewe... usijifanye unaiweza sana kazi ya upaparazi...
walaaa mi rasterman banaa love is ma religion...afu nime kwambia am rude bwaiiii......b'real unaonekana unayajua eeh. Heee mbona........
Nakuruhusu my dady kiroho safi kabisa,sasa sijui kama utaweza mapigo ya hawa vijana wa kidigitali. Jitose baba,uwanja wako huu
Nafanya mazoezi siku hizi na kuangalia movie.. dunia yangu chaguo langu ngoja nikamate fursa twen'zetu.
Hahaaaa,,anza mambo dady nasubiri kuona vocal zako kwa huyu kimwana
Mmh mwenza wangu unamjua?
Uran ama kuna mwingine luv?
Hahahahaaa... sisi watu wazima tuna mikato yetu, we know how to speak L.O.V.E ... hadi raha..
Mie mgeni napita tu.....
Wapitaji wote hao bado hakijaeleweka tu??? kama bado ngoja niokote dodo chini ya mbuyu Valentina...
walaaa mi rasterman banaa love is ma religion...afu nime kwambia am rude bwaiiii......
Mie mgeni napita tu.....