Rommy Jones amwita Gabo Zigamba mshamba

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Hit maker wa ngoma ya bora iwe Rommy Jones ambaye amemshirikisha Baraka the prince mpenzi halali kabisa wa ex wa Mr Blue hapa namzungumzia Naj , Rommy Jones ameibua hisia za chuki kwa baadhi ya mashabiki wa Gabo Zigamba baada ya kumwita Gabo kwamba ni mshamba aliyepitwa na wakati .

Kauli hii baadhi ya wadau waiisapoti huku wengine wakiwa wamechukizwa sana na kauli hiyo na kuwambia Rommy Jones aache tabia za kike kwa kuwa haipendezi kwa mwanaume kumdhalilisha mwanaume mwenzake mbele za watu.

Rommy alimwita hivyo Gabo baada ya Wema Sepetu kupost picha akiwa na Gabo na Wema akaandika BEST ACTOR & ACTRESS 2018 , ila kutokana na pozi la kiajabu ajabu alilokuwa ameweka Gabo ambalo kwa haraka haraka ilikuwa inaonesha kama anamuogopa Wema ,Rommy hakusita kumchana Gabo kwa kuzubaa zubaa na akamuita ni mshamba sana Gabo japo kwa sasa anajifanya mtoto wa mjini.

Wadau mbalimbali mpaka sasa bado wanasubiri kuona Gabo atamjibu Rommy kutokana na kudhalilishwa na Rommy .

 
Wengine wameenda mbali na kumwambia huenda anamtaka Wema.
 
"Kazalilishwa kimaumbile"...Mleta uzi hueleweki.
 
Wao wameshazoea pozi za kumkumbatia kila mtu hata kama huna uhusiano naye wa kimapenzi ilimradi aonyeshe kuwa ana confidence,kumbe huo ndio ushamba,unapokuwa unajiheshimu au unajielewa mtu anayekukumbatia kijinga kama alivyofanya Wema ni lazima uonyeshe hali flani ya kutokukubali aina ya mkumbatio aliokupa,kwani wengine huchukulia hizo opportunity kukuchafua baadaye...
 
'Hapo mimi nimependa gauni alilovaa Wema,hakika limemkaa vema.
 
Umenena ukweli mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…