busha
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 1,712
- 2,577
we acha tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we acha tu
Nilijua ni mimi tu aisee,kumbe tupo wengi...Watu kwa kusifia marehemu, mimi hizo movie za Kanumba simalizi dakika 5 kuangalia. Naona ushuzi tu
Romi JONSI anashughulika na nini ukiacha huo "UTISHIO"?Romy Jones au ukipenda muite Jordan , ni muigizaji wa kiume anayekuja kwa kasi sana hapa nchini mpaka kuwa tishio kwa waigizaji wakongwe.
Romy anajua sana kuuvaa uhusika sana sana scene za mapenzi huwa anazipatia balaa na kwa haraka haraka nikiangalia sidhani kama kuna muigizaji wa kiume anayemfikia katika ku act scene za mapenzi.
Mbali na kuwa anajua kuigiza, na muonekano wa kistaa pia una mbeba sana Romy.
View attachment 1012091
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukawaida wake ndio ulileta mabadiliko makubwa sana katika tasnia ambao hao waigizaji wenye viwango walishindwa.
Muonekano wa kistaa ndio upi?
KWELI MKUU
Kitaaa wanadai jamaa chicha mwiba....kuna ukweli?.Romy Jones au ukipenda muite Jordan , ni muigizaji wa kiume anayekuja kwa kasi sana hapa nchini mpaka kuwa tishio kwa waigizaji wakongwe.
Romy anajua sana kuuvaa uhusika sana sana scene za mapenzi huwa anazipatia balaa na kwa haraka haraka nikiangalia sidhani kama kuna muigizaji wa kiume anayemfikia katika ku act scene za mapenzi.
Mbali na kuwa anajua kuigiza, na muonekano wa kistaa pia una mbeba sana Romy.
View attachment 1012091
Sent using Jamii Forums mobile app
Kati ya upuuzi uliotaja basi ni huulabda rammy galis
Kama mm siwezagi kuangalia movie za kibongo....labda comedyWatu kwa kusifia marehemu, mimi hizo movie za Kanumba simalizi dakika 5 kuangalia. Naona ushuzi tu
Mabektatu wanaweza lkn sio mtu anayejielewaHivi jamani tuambizane ukweli kuna mtu anaweza kuangalia bongo movie mwanzo hadi mwisho..na m CD yao ya part II
Basi tunatofautiana sana kwenye maono wewe ni tofauti kabisa ktk wengi.