Romy Jones tishio jipya la waigizaji wa kiume hapa nchini

Romy Jones tishio jipya la waigizaji wa kiume hapa nchini

Watu kwa kusifia marehemu, mimi hizo movie za Kanumba simalizi dakika 5 kuangalia. Naona ushuzi tu
Nilijua ni mimi tu aisee,kumbe tupo wengi...
Yaani hizo movie za Kanumba siwezagi kumaliza hata dakika kumi kuangalia,yaani nikiangalia movie zake naona kabisa jamaa anaigiza...
Unajua raha ya movie ukiangalia inabidi usahau kama unachoangalia ni maigizo..!
Lakini Watanganyika wengine wanaona jamaa alikua fundi..!
 
Romy Jones au ukipenda muite Jordan , ni muigizaji wa kiume anayekuja kwa kasi sana hapa nchini mpaka kuwa tishio kwa waigizaji wakongwe.

Romy anajua sana kuuvaa uhusika sana sana scene za mapenzi huwa anazipatia balaa na kwa haraka haraka nikiangalia sidhani kama kuna muigizaji wa kiume anayemfikia katika ku act scene za mapenzi.

Mbali na kuwa anajua kuigiza, na muonekano wa kistaa pia una mbeba sana Romy.

View attachment 1012091

Sent using Jamii Forums mobile app
Romi JONSI anashughulika na nini ukiacha huo "UTISHIO"?
 
Dah napata shida sana kujua jinsia ya huyu mtoa mada.. yaan kila siku nawaza kama ni MWANAUME, MVULANA, MWANAMKE AU MSICHANA...
NAVUTA PICHA ALISHONA NYUMA..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Romy Jones au ukipenda muite Jordan , ni muigizaji wa kiume anayekuja kwa kasi sana hapa nchini mpaka kuwa tishio kwa waigizaji wakongwe.

Romy anajua sana kuuvaa uhusika sana sana scene za mapenzi huwa anazipatia balaa na kwa haraka haraka nikiangalia sidhani kama kuna muigizaji wa kiume anayemfikia katika ku act scene za mapenzi.

Mbali na kuwa anajua kuigiza, na muonekano wa kistaa pia una mbeba sana Romy.

View attachment 1012091

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitaaa wanadai jamaa chicha mwiba....kuna ukweli?.
 
Back
Top Bottom