Ronadihno vs Okocha nani alikuwa zaidi?

apa tu tulipo inaambia dunia haidhaniwi siku za karibun kama kuna radha kama hii C 7 vs mess etoo washamsahau camp
 
Mtume na nabii wa mwisho wa soka. Ronaldinyo alikuwa anapenda sana kuwapiga wachezaji wenzie matobo. Nafikiri atakuwa anaongoza kwa kuwapiga matobo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan watu wametafuta mada yao, mtoa post kauliza nani anajua kuuchezea mpira wadau wameenda kwenye kusaidia timu kupata ushindi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wananikumbusha School ukiona swali hulijui unajitungia lingine lenye kufanana na hilo ambalo unalijua, unaanza kuflow kisha unaamuachia kazi Msahihishaji
 
Dinyo was in another LEVEL can’t compare him with OKOCHA. Dinyo was better than Messi and C7 but just because he was black the European/World MEDIA did not give him the RESPECT that he deserved.

Kuna jamaa nimemuonesha hii clip hapa anasema Gaucho ni Freemason
 
Kwa chelsea alikataa mwenyewe akatimkia bolton
 
Mzungu akiingia kusoma comments za waswahili humu vichekesho 😁 hoja dhaifu sana

Kwangu mimi wote style moja na level yao sawa, japo mmoja ana bahati ya kupata kituzo cha ballon mwingine hakua na bahati kutokana na klabu alochezea. "BOLTON"


Ukiniambia kati ya hawa 3
Zidane
Okocha
Gaucho

Nitachagua mpiga kazi, mburudishaji na wakuamua matokea,,,ZIDANE.
 
Hata zidane alikuwa na weakness zake.
Ila weakness kubwa ya zidane alikuwa sio mchezaji wa kumtegemea mechi ndogo.
Yaani kama France anacheza sijui na vi-nchi vidogovidogo jua zidane hana msaada.na ndio maana chunguza mechi nyingi za kimataifa zidane huwa anazingua hatua ya makundi ila inapofika hatua ya mtoano na giant timu ndio utamjua zidane ni nani.
Hata real Madrid walikuwa wanalalamika zidane hawasaidii sana mechi za Ligi wanapocheza na vitimu vidogo na wewe ndio maana amechukua la Liga mara moja tu pamoja na kucheza misimu mitano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nina hakika mkuu

Sikupingi wala kukubishia, sikuwahi kusikia hiki kitu.

Una hata kalink kidogo tusome kwa kuongeza maarifa kidogo.
Ninachokimbuka 2004 ule msimu big sam alipiga mkwara hamuuzi okocha kwenda kokote naada ya msimu ule kuupiga mwingi akawa shortlisted katika pfa players’ of the year.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…