Ronaldinho alikuwa zaidi ya Messi Barcelona

Huyo mtoto Wilshere ni nouma. Kwenye Bleacher mwandishi ameandika kitu mpk raha "They came to see Neymer. They left talking about Wilshere"


Huyo Wilshere jana kapakwa hina na wajerumani na Assnail wakala libolo 3
 


Teh teh hata medali ya kombe la Dunia huyo ushuzi hana...
 


Aliondoka Peter Schmeicher ile hali yeye alikuwa jiwe kuu la pembeni pale Old Traford...
Usikurupuke
 


Wewe Ungeongelea NBA akina Chaunsey Bilups, Amaar Stoudmare, Nick vanexell, Dikembe, Rodman, Ron Artest, Qareem Abduljaal, KB 24, Charles Barkley, Alonzo Morning, ningepoteza muda kukusoma.
Lakini haya ya Santa Gaucho waaala sijajisumbua kukusoma.
 
wewe ungeongelea nba akina chaunsey bilups, amaar stoudmare, nick vanexell, dikembe, rodman, ron artest, qareem abduljaal, kb 24, charles barkley, alonzo morning, ningepoteza muda kukusoma.
Lakini haya ya santa gaucho waaala sijajisumbua kukusoma.

furaha yangu ni kwamba ume reply imeonyesha tayari umenisoma na ujumbe umekufikia.
 


Na jana uliona huyo Messi alivyotepeta?
Kakabwa na Ambrosini mwenye miaka 36 lakini hajafanya lolote la maana.
Puumbav zake...
 
Teh teh hata medali ya kombe la Dunia huyo ushuzi hana...

Sikiliza wewe -----. Kombe la Dunia sio zao la juhudi za mtu binafsi. Kushinda kombe la dunia kunategemea unachezea timu gani na ndio maana nikakupa mfano wa George Weah lkn inaonekana kichwani una maji na uji ubongo hakuna na ndio maana unaongea maneno ya kijingajinga kama hiyo kwenye bold kama pumbavu

George Opong Weah timu yake ya Taifa haijawahi hata kushiriki hilo Kombe la Dunia lkn hilo halikumzuia Weah kuwa Football King. Jenga hoja mambo ya ushuzi jadili na mama yako aliyeshindwa kukulea vyema.



Huyo Messi na medali yake ya dhahabu ya Olympic. Kama ulidhani hajawaji kubeba kombe na timu ya taifa napo unajidanganya
 
Aliondoka Peter Schmeicher ile hali yeye alikuwa jiwe kuu la pembeni pale Old Traford...
Usikurupuke

Unayekurupuka ni wewe. Peter Schmeichel hakuondoka Manchester United bali alistaafu kuchezea timu kubwa kwa ridhaa yake. Ni uamuzi binafsi ambao kocha aliuelewa. Gaucho aliuzwa kwa kuwa hakuhitajika tofauti na Schmeichel ambaye alikuwa bado anatakiwa na kocha na bodi.
 
kwa mara nyingine tena nimeshuhudia Nesi akishindwa kuisaidia Barca isibakwe na kwa mara nyingine tena Nesi ameshindwa kupiga shuti on target katika mechi kubwa na kwa kifupi sikumtofautisha na Gumbo au Kijuso.

Narudia kusema Messi ni Uharo.
 
kwa mara nyingine tena nimeshuhudia Nesi akishindwa kuisaidia Barca isibakwe na kwa mara nyingine tena Nesi ameshindwa kupiga shuti on target katika mechi kubwa na kwa kifupi sikumtofautisha na Gumbo au Kijuso.

Narudia kusema Messi ni Uharo.

Yaishe Chomba, umeshinda!
 
Shida ya wengi humu wameanza kuangalia mpira enzi hizi za Messi... Sikatai he is superb and the best footballer in this planet for the past four years and will still be, may be for the next 2-3 years!

I am a Messi fan too.. Ila jamani Dinho was something else, Enzi hizo nilikua naangalia mechi zote za Barca live.. na pia nilikua narudia mechi alizocheza huyu kiumbe mara tatu hadi nne na kuangalia anachofanya uwanjani.. hajatokea tena wa kumakaribia huyu kiumbe.. Profesa zidane angalau naweza kumsogeza kwa dinho kidogo

That said.. Messi anabaki na nafasi yake ila Tumuache Dinho aitwe Saint tu...! hafananishwi bana
 


Aisee ntajie namba yako ya simu nikurushie vocha ya elfu 10 faster...
 
dinho ni balaa lingine....tusitoe matusi wala kuongea kishabiki sana kwa kupumbazwa na ukungu wa anachokifanya messi sasa hivi na kusahau vitu alivyovifanya gaucho....hata pele au maradona hawakuwahi kufanya ya gaucho....ila tumebaki kuwatukuza tu wakati walifanya mpira kipindi ambacho sanaa ya mpira ilikuwa haijafikia climax....kila sanaa ina maendeleo yake,na mpira ni sanaa...Nikirudi kwenye topic,GAUCHO WAS AND IS THE LEGEND IN FOOTBALL HISTORY
 


Kweli kabsaaaaa
 
Hii post ilinishika sana. Chomba, Gutierez, Companero, na wengine hizo nyoda zenu!
 
Kama ni Darasani basi wa kwanza ni gaucho no.2,3،4،5،6،7،8، 9 hawajapatikana anaefata ni namba kumi ambaye ndo messi. Messi hana hata nusu goli au pasi ya goli kwenye World kap, Gaucho ni Zaid ya Pele na Maradona!
 
Kama ni Darasani basi wa kwanza ni gaucho no.2,3،4،5،6،7،8، 9 hawajapatikana anaefata ni namba kumi ambaye ndo messi. Messi hana hata nusu goli au pasi ya goli kwenye World kap, Gaucho ni Zaid ya Pele na Maradona!


Messi kimekuwa flop of the Match katika kila mtandao wa Soka...
sasa ngoja waumini wake waje hapa na ushuzi wao.
Kimeshindwa kuisaidia Barca wasinyukwe goli 4-0 dhidi ya Bayern Munchen.

hapa ndo kuna tofauti kati ya mwanga wa Jua Gaucho na Mwanga wa Tochi Messi.
 
Naombeni mnipe mafanikio ya gaucho baada ya kuondoka nou camp mpaka sasa huko kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…