paul mahinga
Member
- Jan 16, 2018
- 32
- 32
kimsingi mimi mwenyewe nilikuwa naenda kumwangalia jamaa game hii ananogeshaje.Daaaah, I will miss him, a lot aiseee..!!! Jamaa alikuw fundi sana. Binafsi alinifanya nione dakika 90 hazitoshi kwny soka...!!!
Yule jamaa ni hatari sanakimsingi mimi mwenyewe nilikuwa naenda kumwangalia jamaa game hii ananogeshaje.
Balaaaaaaaaaa saaaanaaaaaaaaaaaaYule jamaa ni hatari sana
Naaza sasa kupata uwezo wako wakufikiriaOverrated tu huyo lakini si lolote kwa messiah cuccittini
Acha umbeaNaaza sasa kupata uwezo wako wakufikiria
Messi yuko vizuri, ila mashabiki wake mna matatizo.Overrated tu huyo lakini si lolote kwa messiah cuccittini
Matatizo yapi gaucho ana kipi alichomzidi kingleo?Messi yuko vizuri, ila mashabiki wake mna matatizo.
wewe ni mjingaHuyo hana chochote zaidi ya kujipiga vyenga ndyo maana record zake binafsi za barca na Brazil zimefunikwa na neymar Jr
we mwehu kweli..messi zaid ya chenga za koni anakiweza nini kingine?..kufunga hata adebayor alikua anafungaMatatizo yapi gaucho ana kipi alichomzidi kingleo?
unatafuta laana tu.....Huyo hana chochote zaidi ya kujipiga vyenga ndyo maana record zake binafsi za barca na Brazil zimefunikwa na neymar Jr
Mbona ulichokiandika hakieleweki?Mfalme Gaucho, mkali Football kuwahi kutokea