inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
kaangalie mechi na Chelsea anafunga huuku anakata viuno..nani anawezaYote uliosema nakubaliana nayo ila hapo kwny kufunga atakavyo umetudanganya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaangalie mechi na Chelsea anafunga huuku anakata viuno..nani anawezaYote uliosema nakubaliana nayo ila hapo kwny kufunga atakavyo umetudanganya
we utakua akshay KUMAr..nenda kanyoleweStatistics hazidanganyi kwa messi mbali mno maana alichokifanya messi kufunga hatrick Elcasico wakongwe walikishindwa akiwemo gaucho leta statistics neymar na gaucho ndipo utapogundua kuwa gaucho kilaza
Messi hajamfikia huyo mnyamaHuo ni mtazamo wako,ila dunia nzima inatambua bado hajaonekana gold player like Morreira
Samahani anaitwa Messi sio messeah maana ya messeah ni mpakwa mafuta wa Bwana tafadhali zingatia matumizi ya maneno sorry for that.Ana record gani aliyompita king Leo?
Ushawahisikia gaucho anafananishwa na pelle au maradona?
Kwann messiah anafananishwa nao?
Leta statistics za neymar na gauchoWewe dogo Alonso14 usiwe mpumbavu. Nimekua nakufuatilia comments zako humo unaonekana ni mjinga mjinga. Acha kutafuta umaarufu usiolipa humu JF. Acha itikadi za kujiona mhuni nyuma ya keyboard. Pumbavu kabisa!
Samahani anaitwa Messi sio messeah maana ya messeah ni mpakwa mafuta wa Bwana tafadhali zingatia matumizi ya maneno sorry for that.Ana record gani aliyompita king Leo?
Ushawahisikia gaucho anafananishwa na pelle au maradona?
Kwann messiah anafananishwa nao?
Kukata viungo ndyo nini?kaangalie mechi na Chelsea anafunga huuku anakata viuno..nani anaweza
Leta statistics za neymar na gaucho za Brazil barca na psgwe utakua akshay KUMAr..nenda kanyolewe
Messiah the king him selfSamahani anaitwa Messi sio messeah maana ya messeah ni mpakwa mafuta wa Bwana tafadhali zingatia matumizi ya maneno sorry for that.
Gang Chomba popote ulipo swahiba njoo utie neno hapa...akizungumziwa dinho mimi kutia neno wakati upo ni kuwakosea heshima wapenzi wa huyu kiumbe pekee aliyeweza kuongea na mpira na mpira ukamsikiliza
Hela ya kiingilio.ilikuwa inaenda kihalalikimsingi mimi mwenyewe nilikuwa naenda kumwangalia jamaa game hii ananogeshaje.
Gaucho hafananishwi na mtu yeyote.Yeye ni Alfa na OmegaAna record gani aliyompita king Leo?
Ushawahisikia gaucho anafananishwa na pelle au maradona?
Kwann messiah anafananishwa nao?
Tofautisha mtu anaejua mpira na mtu anaecheza mpira kijana .Ivi mbona gaucho fans boys mkiambiwa mlete statistics for comparison kati ya neymar na gaucho za Brazil,P.S.G,Barca tuone who was the best mnakasirika?
Gaucho alicheza mpira na watu wakaupenda mpira.Wewe mwehu gaucho amempita kipi neymar tukienda kwenye statistics?
Messi hajanyanyua kwapa kombe la DuniaStatistics hazidanganyi kwa messi mbali mno maana alichokifanya messi kufunga hatrick Elcasico wakongwe walikishindwa akiwemo gaucho leta statistics neymar na gaucho ndipo utapogundua kuwa gaucho kilaza
Neymar kawa mchezaji Bora wa Dunia,Neymar kabeba kombe la Dunia?Weka statistics za neymar Jr na gaucho namba hazidanganyi mkuu
Ndipo utapogundua gaucho alikuwa kilaza tu
Alonso anatumia Google kuangalia StatisticsWewe dogo Alonso14 usiwe mpumbavu. Nimekua nakufuatilia comments zako humo unaonekana ni mjinga mjinga. Acha kutafuta umaarufu usiolipa humu JF. Acha itikadi za kujiona mhuni nyuma ya keyboard. Pumbavu kabisa!
Tunachosema hapa ni burudani na raha tuliokua tunapata mara baada ya gaucho kuushika mpira .na kufanya vitu ambavyo hua avirudiwi na mtuIvi mbona gaucho fans boys mkiambiwa mlete statistics for comparison kati ya neymar na gaucho za Brazil,P.S.G,Barca tuone who was the best mnakasirika?