RONALDINHO atangaza kutundika daluga, ninakushukuru kwa niaba ya Dunia

RONALDINHO atangaza kutundika daluga, ninakushukuru kwa niaba ya Dunia

Tofautisha mtu anaejua mpira na mtu anaecheza mpira kijana .

Statistics hata varejo anazo pia lukaku nae anazo
Na wao utasema wanaujua mpira ?
Gaucho hana alichompita messi acheni mihemuko ya kijinga
 
Neymar kawa mchezaji Bora wa Dunia,Neymar kabeba kombe la Dunia?
Achana naye mkuu huyo dogo hana hata slight mind ya kung'amua nini watu tunaongelea. Yeye kang'ang'ana na statistics neno alilo-cramm wakat anasoma f2. Hajui mpira. Mimi mtu wa hivi sipati tabu kubishana naye. Hajui kwanini Gaucho hakua na magoli mengi akiwa Barcelona. Hajui kwanini alikwisha mapema kiwango chake. Ukimwambia ataje factors hatojua hata moja. Na akiulizwa ang'amue na kujua tofaut za individual skills za hao anaowataja na Gaucho pia hatoweza.
 
Tunachosema hapa ni burudani na raha tuliokua tunapata mara baada ya gaucho kuushika mpira .na kufanya vitu ambavyo hua avirudiwi na mtu

Sasa wewe unapokazia statistic sijui unamaanisha nini.

Mfano valejo ana record ya kubeba uefa mara mbili mfululizo na hajacheza mechi hata moja je uoni kama tukiangalia statistics valejo yuko juu sana japo hana kiwango chochote


Angalia kiwango cha mtu binafsi
Nazungumzia individual statistics like goals and assist
 
Achana naye mkuu huyo dogo hana hata slight mind ya kung'amua nini watu tunaongelea. Yeye kang'ang'ana na statistics neno alilo-cramm wakat anasoma f2. Hajui mpira. Mimi mtu wa hivi sipati tabu kubishana naye. Hajui kwanini Gaucho hakua na magoli mengi akiwa Barcelona. Hajui kwanini alikwisha mapema kiwango chake. Ukimwambia ataje factors hatojua hata moja. Na akiulizwa ang'amue na kujua tofaut za individual skills za hao anaowataja na Gaucho pia hatoweza.
Zako ni taarabu tupu gaucho Hamna anachomzidi neymar kipi ambacho gaucho amekifanya neymar hajafanya?

Acheni mihemuko ya kike
 
Inasemekana alizaliwa huku anapiga Dana Dana.
Sijui ni lini atakuja ronaldinho mwingine.
 
Wee waulize real madrid...aliwapiga mpaka mashabiki wa madrid siku hio wakasimama na kumpigia makofiii
Makofi juzi inesta kapigiwa Santiago kwaiyo hiyo sio sababu mkuu
Kuhusu kuwapiga Madrid messi na gaucho nani kawapiga sana?
 
Kweli wewe ni mjinga
c3d42a7011dec884e43d9afaa64369fa.jpg
 
Ni mgonjwa wa akili aliterogwa tu,ndiye atakayepika uwezo wa nguli wa falsafa wa mpira wa miguu,nahisi huko academy za soka wanatumia baadhi ya theory zake kuwafundisha watu maana ya mpira,Na huwa anatumika kama mifano kwa wasiojua na wanaojua mpira,sikuwahi kuipenda brazili lakini macho yangu hayakuona aibu kutamani mfalme ashike mpira hata kama nilikuwa mpinzani lakini nilitamani ashike mpira kwa aonyeshe burudani kaa! GAUCHO pumzika bro
 
Ni mgonjwa wa akili aliterogwa tu,ndiye atakayepika uwezo wa nguli wa falsafa wa mpira wa miguu,nahisi huko academy za soka wanatumia baadhi ya theory zake kuwafundisha watu maana ya mpira,Na huwa anatumika kama mifano kwa wasiojua na wanaojua mpira,sikuwahi kuipenda brazili lakini macho yangu hayakuona aibu kutamani mfalme ashike mpira hata kama nilikuwa mpinzani lakini nilitamani ashike mpira kwa aonyeshe burudani kaa! GAUCHO pumzika bro
Theory za mpira acha uongo
 
Back
Top Bottom