Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 6,585
- 10,363
Bora wakose nafasi ya WC 2026 labda ndo wataamkaUko uwezekano kwa mara ya kwanza Brazil ikakosekana katika mashindano ya 2026 World Cup!
Kwa kweli ni timu mbovu kuwahi kutokea!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora wakose nafasi ya WC 2026 labda ndo wataamkaUko uwezekano kwa mara ya kwanza Brazil ikakosekana katika mashindano ya 2026 World Cup!
Kwa kweli ni timu mbovu kuwahi kutokea!
Tunatofautiana mkuu, mimi toka Maximo aondoke sijawahi kuishabikia Starz na ikifungwa ndo furaha yangu inazidi.Atakuwa anashabikia kimoyomoyo, timu yako ya taifa ni yako tu iwe na wakati mzuri au mbaya, aache kudeka, hata wakati wao hawakuwa wakishinda makombe yote, labda Copa America pekee.
Kama vipi akane na uraia wa Brazil atafute nchi nyingine ahamie naamini uwezo kiuchumi anao, ili ajiweke mbali kabisa na hiyo timu, hivyo ataweza kuishi kwa amani.
Uongo🇧🇷 Ronaldinho: “That’s it guys, I will not watch any Brazil game at the Copa América nor celebrate any victory”.
“I’ve had enough. It’s a sad moment for those who love Brazilian football. It’s hard now to find the spirit to watch the games”.
“It’s one of the worst teams in the recent years, no respectable leaders, only average players for the majority”.
“I’ve never seen a situation as bad as this. Lack of love for Brazil shirt and lack of football”.
“Our performance has been one of the worst things I’ve ever seen, it’s such a shame”.
😀😀😀😀😀😀 mpuuzi sana we jamaaRasi simba 0768324543