Ronaldinho Gaucho atangaza kuacha kushabikia timu yake ya taifa ya Brazil

Uko uwezekano kwa mara ya kwanza Brazil ikakosekana katika mashindano ya 2026 World Cup!
Kwa kweli ni timu mbovu kuwahi kutokea!
Bora wakose nafasi ya WC 2026 labda ndo wataamka
 
Tunatofautiana mkuu, mimi toka Maximo aondoke sijawahi kuishabikia Starz na ikifungwa ndo furaha yangu inazidi.
 
Uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…