Ronaldo atoa msaada wa fedha kwa familia za wachezaji waliofia katika ajali ya ndege

Ingekuwa Tanzania ungeckia hiyo pesa imepangiwa kazi nyingine kwani sio serikali iliyosababisha wapate hiyo ajari!
 
mmkumbushe na Messi jamani aikwepe kuwasaidia kama anavyokwepa kodi.
 
On behalf of myself and ghetto people natoa pole nyingi kwao, ukisoma historia ya hii club inasikitisha sana.
Natoa pole kwao na wapenzi wote wa mpira, hii timu inahistoria gani mkuu?
Ya majonzi au nzuri?
 
manchester city kiboko
wenger bahili kama kawaida yake

Wenger anahusikaje na pesa za majanga duh?alafu mbona haujasema Pep kiboko ila umeitaja Man City kheeee kheeee chuki mwanzo mwisho bro' [emoji23][emoji23]
 
NDO MAANA WENZETU WANAZIDI KUBARIKIWA........
 
Wenger anahusikaje na pesa za majanga duh?alafu mbona haujasema Pep kiboko ila umeitaja Man City kheeee kheeee chuki mwanzo mwisho bro' [emoji23][emoji23]
Chuki ??
naichukia nini ??
 

cool, ila hapa kwetu utashangaa hatuna culture ya ukweli na aibu, utakuta janga likitokea hata wasiohusika wanajichomeka humo na kupelekea kufanya scenario nzima iwe ya utata. Wenzetu hawafuatilii dini sisi tunazijua haswa, ila inapofika kuiba haki ya mwenzio ni easy tu. Hivyo hisije shangaa na kusali kwetu kutwa kufanikiwa ikawa ni ngumu maana kuna vilio vingi vinatulilia daima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…