Ronaldo atua rasmi Al Nassr

Ronaldo atua rasmi Al Nassr

Dirisha kubwa La Usajiri kuna Timu itavunja huo mkataba na kumsajiri tena Ronaldo kurudi ulaya.

Timu nyingi za Ulaya hazitumii pesa Kubwa Kwenye dirisha dogo la Usajiri kuepuka Sheria Ya Matumizi ya Pesa…. Trust Ronaldo atakiwashaaa huko ili Arudi ulayaa…. Kacheza Ibramovic hadi ana 40 kwann Isiwe Ronaldo

By the way Mwisho wa Siku kwenye hizi mbilinge mbilinge na Mpira ni Pesa…. Hiyo Pesa Ronadlo anaweza kuchukua mkopo wa Triollion 1 au 2 za Kitanzania na kuwekeza katika biashara zake.

Hapo ndio tofauti ya wachezaji wa Kiafrika na Ulaya inapoonekana, katika Yote wasisahau mpira ni Pesa…. Yuko wapi Matola? Kama Angewekeza kwenye kupata hela Katika mpira wake pengine asingewaza hata kuwa Koch Msaidizi
 
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Manchester United Cristiano Ronaldo amesaini mkataba mpya na klabu ya Al Nassr ya nchini Saudi Arabia.

Mkataba huo utamfanya kuwa mchezaji anyelipa zaidi na atasalia klabuni hapo hadi 2025.

Ronaldo mwenye umri wa Miaka 37 amekabidhiwa jezi namba 7.Al Nassr ni mabingwa mara tisa wa ligi ya Saudi Arabia.

View attachment 2463879
Atalipwa kwenye Dola 1,739,000 kwa wiki na kumfanya kuwa mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa kuliko wote duniani?
 
Timu gani uchukue mzigo?
Dirisha kubwa La Usajiri kuna Timu itavunja huo mkataba na kumsajiri tena Ronaldo kurudi ulaya.

Timu nyingi za Ulaya hazitumii pesa Kubwa Kwenye dirisha dogo la Usajiri kuepuka Sheria Ya Matumizi ya Pesa…. Trust Ronaldo atakiwashaaa huko ili Arudi ulayaa…. Kacheza Ibramovic hadi ana 40 kwann Isiwe Ronaldo

By the way Mwisho wa Siku kwenye hizi mbilinge mbilinge na Mpira ni Pesa…. Hiyo Pesa Ronadlo anaweza kuchukua mkopo wa Triollion 1 au 2 za Kitanzania na kuwekeza katika biashara zake.

Hapo ndio tofauti ya wachezaji wa Kiafrika na Ulaya inapoonekana, katika Yote wasisahau mpira ni Pesa…. Yuko wapi Matola? Kama Angewekeza kwenye kupata hela Katika mpira wake pengine asingewaza hata kuwa Koch Msaidizi
 
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Manchester United Cristiano Ronaldo amesaini mkataba mpya na klabu ya Al Nassr ya nchini Saudi Arabia.

Mkataba huo utamfanya kuwa mchezaji anyelipa zaidi na atasalia klabuni hapo hadi 2025.

Ronaldo mwenye umri wa Miaka 37 amekabidhiwa jezi namba 7.Al Nassr ni mabingwa mara tisa wa ligi ya Saudi Arabia.

View attachment 2463879
Hongera kwake na pole kocha wa Al Nassr
 
Back
Top Bottom