Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alitakiwa azamishwe kwenye maji mengi, ubatizo wa yohana mbatizajiHapo habatizwi bali anaoshwa kichwa!
Kama ni mpagani kila terminology utaiona as if ni msamiati mpya. You may need a fresh class ili uendane na kasiwokovu ndio nini
Unapotosha; heshimu maandiko.Usijali...huo ni mwili tuu...na mwili hauna manufaa yoyote mbinguni..
Ile roho ndio dhahabu ya mbinguni...au ww unahisi viwete wataenda mbinguni wakiwa viwete...acha hizo mkuu...
Maji mengi au kidogo haijalishi, mbinguni kwa Baba yake kuna makao mengi...ukiweza kufafanua hapo basi swala la yeye kunawa kichwa litafutika akilin mwako
Unapotosha; heshimu maandiko.
Elimu ya talimungu ni muhimu sana, usipoelewa utataka maji mengi, utataka ukanyage mafuta, utataka uvae chupi za upako n.k.alitakiwa azamishwe kwenye maji mengi, ubatizo wa yohana mbatizaji
There is only one Ronaldo🤣🤣🤣🤣Mshambuliaji bora wa mda wote nnae mjua mimi
Unapowashwa sehemu usiyoweza kujikunaHapo habatizwi bali anaoshwa kichwa!
Mkristo mtegea kanisaniAlikuwa dini gani awali?
" Kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba; bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala sistahili hata kuvichukua viatu vyake; yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto."Hakuna ubatizo hapo acha kutudanganya
Ubatizo wa biblia ni ubatizo wa maji mengi siyo wa jagi na beseni
Jambo kubwa hapa ni kila mmoja abaki na imani yake. Ronaldo amechagua imani ya Kanisa Katoliki (ubatizo mmoja), kama unaweza kumfikia basi mueleze hayo unayoaminiHakuna ubatizo hapo acha kutudanganya
Ubatizo wa biblia ni ubatizo wa maji mengi siyo wa jagi na beseni
Kwa hiyo hapo anabatizwa kwa Roho Mtakatifu?" Kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba; bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala sistahili hata kuvichukua viatu vyake; yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto."
Mathayo 3:11
Hii sio Biblia?
Basi ingeandikwa Ronaldo abatizwa ubatizo wa katoliki na kuwa mkatoliki maana title ndiyo imenifanya niseme huo siyo ubatizo wa biblia maana imeandikwa amebatizwa na kuwa mkristo hakuna mkristo anayebatizwa ubatizo huoJambo kubwa hapa ni kila mmoja abaki na imani yake. Ronaldo amechagua imani ya Kanisa Katoliki (ubatizo mmoja), kama unaweza kumfikia basi mueleze hayo unayoamini
Kwa moto na Roho Mtakatifu kama ilivyoandikwa, usipunguze neno. Usione hayo maji tu, ungeuliza hiyo ni hatua ya ngapi ya ubatizo wa Kikatoliki. Kuna hatua kadhaa na hiyo ni moja tu ya hatua katika ibada ya ubatizoKwa hiyo hapo anabatizwa kwa Roho Mtakatifu?