CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Porojo watu wanazidi kuingia kwa makundi.
Kila siku naweza kukuletea wapya hapa bongo tu wapo kibao ..
Porojo kibao naona umeumia tambua upo njia ya freemason jisalimishe na uingie kweny uislamu.
Amemtaja Zakir Tena! Watu wasiomjua wameanza kumtafuta na kumjua ni nani zakri? Ajabu wamemkuta ni mtu mzuri, mwema na muongeaji mzuri kabisa.. muhubiri wa dini ya kiislamu mwenye kujuza uislam juu ya wale wasioujua..Ingekuwa kajiunga na dini Fulani yenye asili ya uarabuni ambayo bado Ipo kwenye marketing, inashawashi watu maarufu kwa hela nyingi kujiunganayo, inaandaa kombe la dunia na baadaye kukitumia kama sehemu ya propaganda za kueneza dini Yao kwa kuwaita wahubiri uchwara akina Zakir, ambayo inatumia mprira wa miguu kueneza propaganda za dini kwa kununua timu kubwa za ulaya na Sasa wananunua wachezaji maarufu duniani kwa hela nyingi na kuwapeleka ligi za kwao kwa lengo hilo hilo la ku market dini na Mila zao, basi ingikuwa wao Kelele zingepigwa Kila sehemu duniani
Nilikuambia unukuu😂😂mbonq limekugusa mpaka una jibu bila ya kuambiwa ,imeingia mara kibao ushanikimbia kibonde wangu.MIMI NIMENUKUU QURAN UNASEMA POROJO.
KWAHIYO QURAN IMEJAA POROJO??????
KITABU CHA MAJINI KIMEJAA POROJO
Ulikosa kwenye program ya BBT kiongozi ile ndo ingekufaa haya mengine huyaweza.. kichwa chako kidogoSHETANI ALISLIMU NDANI YA MSIKITI
Quran 51:56
Allah anasema
Nami sikuwaumba Majini na WATU Ili waniabudu Mimi.
Quran 72:2.
Sema.
Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi Moja la majinililisililiza na likazema
Hakika sisi tumeisikia Quran ya Ajabu
Siasa za dini yenu nazifaahu sana tena kiundani kimataifa na kitaifa hivyo namaanisha na nakijua nilichoandikaAmemtaja Zakir Tena! Watu wasiomjua wameanza kumtafuta na kumjua ni nani zakri? Ajabu wamemkuta ni mtu mzuri, mwema na muongeaji mzuri kabisa.. muhubiri wa dini ya kiislamu mwenye kujuza uislam juu ya wale wasioujua..
Hapa umempiga chura teke kiongozi
c kila mtu anazaliwa ni mgalatia?Alikuwa dini gani awali?
Ubatizo gani huo? Alitakiwa abatizwe ubatizo wa maji mengi
Huwa kuna watu hushangilia humu wakisikia fulani mwenye jina la Kikristo amekuwa dini fulani wakiamini ni Wakristo wanasahau kwamba kuwa na jina la Kikristo hakumfanyi mtu awe Mkristo.Alikuwa dini gani awali?
kwa kupiga mbizi sioUbatizo gani huo? Alitakiwa abatizwe ubatizo wa maji mengi
ni kuwa mtulivu, sio kupiga mbizi haogeleikwa kupiga mbizi sio
ni kama kujichovyani kuwa mtulivu, sio kupiga mbizi haogelei
mtoni, ziwani na baharini au kisimani (kisima cha kubatizia/pool)Mengi kiasi gani? Debe, pipa au mengi kiasi gani, hebu fafanua chap chap!
ni kuzamisha na kuibuani kama kujichovya
zoezi hilo linaweza kufanyika popoteni kuzamisha na kuibua
Mkazikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo, ubatizo ni kuzika, au kuzamisha,kutosa kwa hiyo unaweza kujua ni maji kiasi gani yanahitajika,Mengi kiasi gani? Debe, pipa au mengi kiasi gani, hebu fafanua chap chap!
SHETANI ALISLIMU NDANI YA MSIKITI
Quran 51:56
Allah anasema
Nami sikuwaumba Majini na WATU Ili waniabudu Mimi.
Quran 72:2.
Sema.
Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi Moja la majinililisililiza na likazema
Hakika sisi tumeisikia Quran ya Ajabu.
ni penye maji mengizoezi hilo linaweza kufanyika popote