Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hakuna mto ata kisima tu kinatosha kumzamisha mtu.Kuna nchi ambazo hazina hata mto. Lakini pia kuna maeneo ndani ya nchi ambayo mto upo umbali wa kutosha kutokea maeneo mengine. Hawa wanazamishwa wapi? Wafunge safari?
Na Mimi piaMshambuliaji bora wa mda wote nnae mjua mimi
Lini kakutana na papa kwa hiyo kucheza Italy ndio kukutana na papa.Acha unafikiJamaa pamoja na kukutana na papa kucheza Italy, hakuwahi kubatizwa? Duh
Leta andiko hapa linalosema ubatizo wa maji mengi.Hakuna ubatizo hapo acha kutudanganya
Ubatizo wa biblia ni ubatizo wa maji mengi siyo wa jagi na beseni
Acha ujiinga, pumbavu, nimelala na mama ako km hujui ,soma historia pumbavu mkubwa, baba zako tukiongea kaa kimya ,kima weweLini kakutana na papa kwa hiyo kucheza Italy ndio kukutabmna na papa.Acha unafiki
Ellen White aliandika kitabu cha maono yake. Baadhi ya maono yake inawakilisha makufuru kwa kupotosha na kuchanganya kabisa maono na mifano ya Biblia (Early Writings p 54,55). Hiki kitabu kilikuwa ni kazi ya udanganyifu. Anadai kwamba alipata maono ya mbinguni na aliongea na malaika na Kristo. Haya maono na ufunuo ilibidi kuhalalisha mafundisho yao ya uongo kuhusu Yesu kuinga katika patakatifu pa patakatifu Oktoba 1844. Hii ilibidi itokee Oktoba 22, 1844! Anadai alipata maono mengi kama haya, ambayo kiukweli sio ongezeko la maandiko tu ila pia ni kuharibu thamani ya maandiko. Waadventista wanadai kuwa mafunuo haya ya Ellen White ni ‘yenye mamlaka’ kwa Waadventista Wasabato. Tunajua kuwa kitabu cha Ufunuo kinaongelea kuhusu watu watakaokiongezea! (Ufunuo 22:18). Waadventista wanaweza wakasema kuwa Ellen White haongezei kwenye kitabu cha Ufunuo, lakini kwa sababu ya mambo mengi mapya na yenye kupotosha kwenye ‘maono yake’, na kwa sababu wafuasi wake wana amini kazi zake ni zenye ‘mamlaka’, hiki ndicho anachofanya. Kuhusu kazi zake Ellen White anasema, “Shuhuda hizi ni za Roho wa Mungu au shetani” (Testimonies for the Church, Vol. 4, p.230). Ni dhahiri kuwa shuhuda zake sio za Roho wa Mungu.Amejiunga DINI ya MAJINI.
DINI isiyojua vilipo VITABU vya Mungu.
Torati, zaburi, na INJILI.
Ukiwauliza WAISLAMU vipo wapi HAWAJUI.
ACHA SHETANI aendelee kujaza kundi lake la WAJINGA na WAPUMBAFU.
JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????
Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.
HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????
Mimi nime nimemt*mba baba yakoAcha ujiinga, pumbavu, nimelala na mama ako km hujui ,soma historia pumbavu mkubwa, baba zako tukiongea kaa kimya ,kima wewe
Tupe na historia ya dini yako ilivyoanzishwa na yule malaya wenu Hellen whiteMIMI NIMENUKUU QURAN UNASEMA POROJO.
KWAHIYO QURAN IMEJAA POROJO??????
KITABU CHA MAJINI KIMEJAA POROJO
Alikua muislamu nadhani. Yafaa sasa mkamkate kichwa, au vipi?🤣😂Alikuwa dini gani awali?
Hatuhitaji ubatizo wa Yohana, tunahitaji ubatizo wa Roho Mtakatifu!alitakiwa azamishwe kwenye maji mengi, ubatizo wa yohana mbatizaji
😁😃😀😄😅😅😁😁😃Alikua muislamu nadhani. Yafaa sasa mkamkate kichwa, au vipi?🤣😂
utarukaje hatua hiyo? Aaminiye na kubatizwa ataokoka. Huo ubatizo wa roho mtakatifu hufuata baada ya ubatizo wa majiHatuhitaji ubatizo wa Yohana, tunahitaji ubatizo wa Roho Mtakatifu!
Sasa si itakuwa ni tofauti na alichofanya Yohana Mbatizaji?Kama hakuna mto ata kisima tu kinatosha kumzamisha mtu.
Hakuna hatua uliyoruka! Ubatizo wa Roho Mtakatifu unaenda sambamba na ubatizo wa maji na ndiyo ubatizo muhimu!utarukaje hatua hiyo? Aaminiye na kubatizwa ataokoka. Huo ubatizo wa roho mtakatifu hufuata baada ya ubatizo wa maji
alikula maisha kwanza akaja kuamua kujihusiha na ya jumla uzeeniAlikuwa dini gani awali?