Ronaldo de Lima: Kizazi changu ilikuwa ngumu kuwa bora Duniani

Shikamoo mkuu.

Ha haa marhaba kamanda,,, nawe shikamoo....hawa watu bwana wana mdhalilisha sana huyu kiumbe kuwahi kutokea ktk uso wa dunia,,, sijui wanajisikiaje kumtaja taja vibaya......chuki ni mbaya mno aise. Yani mtu anakuja kumlinganisha tembo na visisimizi!!! Kisa eti timu kuchukua kombe la dunia!! Wakati ile ni teamwork, tofauti na Messi jeshi la mtu mmoja.....wewe angalia since ametua pale camp nou mataji yote na mazagazaga yote kwa juhudi zake binafsi. Timu kaipeleka urussi kwa juhudi zake binafsi....mtu mmoja anapiga hatrick na kuipeleka urussi timu yake!!!
 
Ni kweli mkuu mfano mzuri Christiano Ronaldo alipokuwa kwenye peak hazungushi kwa Gatusso
 
Hujui mpira kabisa mkuu, nimesoma comment zako nimegundua umeanza kushabikia mpira miaka ya 2000, nakuambia hivi hao akina mbape sijui hazard na wengine ni mavi tu, mbape?? Kweli?? Amefanya nini kwenye soka.. siku hizi media zimekuza sana wachezaji, ni media tu ndo zimewafanya wawe wakubwa.. hakuna cha maana. Enzi za akina zidane, trazguet, delima, nedved, inzaghi, owen, ilikuwa balaa hakuna wa kufananisha.. na nakuambia hivi sijui kama kitatokea kizazi kama kile katika soka, enzi hizo mpira ulikuwa mtamu bhana.. wazee wa busara mguuni kama akina mzee seedorf, pirlo, del PL,alafu wew unataja mbape, eti ndo tuwafananishe na akiba gaucho.. acha bhana
 
Anagaia beki za kipindi kile, nesta, cannavaro, ferdinand, Terry ,cuf, maicon, maldin, Campbell, puyol, samba matamba na deep midfielder vichaa kama akina gattuso, makelele, viera, alafu fananisha ni beki za saiv akina zuma, rojo, lovren, cavajall, and so on.. then ndo ujue usifie forwad ipi.. usisifie ana mbio sana wakat anakimbizwa na kobe.. kabla ya kusifia ana spidi au hana angalia kwanza anakimbizwa na nani?
 
Ahsante mzee.. tuwavumikie mashabiki wa man city hawa.. enzi hizo uefa ilikuwa uefa.bhana
 
Wewe ni shabiki wa messi na sio mpira.. umeanza kushabikia mpira enzi messi akiwa kwenye ubora wake lakin bahati mbaya hukushabikia enzi wengine wakiwa kwenye ubora wao
 
Ni kweli mkuu mfano mzuri Christiano Ronaldo alipokuwa kwenye peak hazungushi kwa Gatusso
Ahsante sana bosi kwa mfano murua, hata huyo messi amecheza mechi nyingi na chelsea lakin hajawahi kuwafunga kwasababu walimuweka chini ya ulinzi hafurukuti
 
Upo sahihi kabsa kwa ufafanuzi huu
 
Lakini Messi Na Cristina wamefanya Mengi kuliko wao Except World Cup
 
Wewe ni shabiki wa messi na sio mpira.. umeanza kushabikia mpira enzi messi akiwa kwenye ubora wake lakin bahati mbaya hukushabikia enzi wengine wakiwa kwenye ubora wao

Ok wewe ulieanza kushabikia kabla yangu nipe data kamili/facts....naona mkuu umekuja na gear no 5,,
 
Upo sahihi kabsa kwa ufafanuzi huu

Huyu jamaa anajua kuchambua,,, anaempinga ana lake jambo sio bure.....Messi anachukiwa na wachache mno ni kutokana na mafanikio yake,,, na pia kawabwaga wapinzani wake wa sasa na wazamani pia,,
 
compatation ni nini Mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…