Ronaldo de Lima: Kizazi changu ilikuwa ngumu kuwa bora Duniani

Ronaldo de Lima: Kizazi changu ilikuwa ngumu kuwa bora Duniani

hamna lolote kizazi Cha R9. Kizazi kilichokuwa Na challenge kubwa Ni 1992 -1996 hata ukifuatilia UEFA championship league kufunga goli hata moja enzi hizo ilikuwa ngumu. AC Milan Na Ajax Amsterdam, Barcelona Na marceile ya ufaransa.

AC Milan
1. Dejan Cecicevic mserbia
2 . Paulo maldin
3. Franco Baresi
4. Rais George Weah
5. Albertini
6. Boban, ambaye haruna Moshi kaiga Hilo jina kutoka kwake alikuwa mcroatia

Juventus
1. Ravaneli fabrazio
2. Roberto Baggio
3. Gianluca Viali

Beryan Munich
Lother Matthias
2. Oliver bierhoff
3. Jurgen klinsman
4. Rudi voller

Borrusia Dortmund

Chapuisat
Mathias summer
Victor ikpeba mnigria

Marseille
1. Abedi pele

Real Madrid
Ivan Zamorano mchile huyu

Barcelona
Romario
Ronald koeman
Hristo stoichkov

Sasa wanaume Yani enz hizo tishio Na Ni nyakati hizo R de lima alikuwa kinda uholanzi psv pamoja Na gaucho. AJAX AMSTERDAM Dah Ajax ilikuwa tishio chini ya kocha Luis Vaan Gal

Naanza Na waafrika watatu kutoka Nigeria waliipaisha Ajax

Sunday Oliseh
Finidi George
Nwanko Kanu

Wengine

.Frank rijkaard
.Frank de Boer
.Ronald de boer
Patrick cluivert alikuwa 19 yes alipofunga goli la pekee UEFA chmp league 1994 dhidi ya Ac M
ilan
. Clarence seedorf
.edagR davis
. Reinziger
Jari litmanen
. Edwin van der saar

Jezi Yao ilidhaminiwa Na ABN amro bankView attachment 668693

Hiki ndio kizazi Cha mpira wenye changamoto
Kweli mpira umekufa siku nyingi sana
 
Back
Top Bottom