hamna lolote kizazi Cha R9. Kizazi kilichokuwa Na challenge kubwa Ni 1992 -1996 hata ukifuatilia UEFA championship league kufunga goli hata moja enzi hizo ilikuwa ngumu. AC Milan Na Ajax Amsterdam, Barcelona Na marceile ya ufaransa.
AC Milan
1. Dejan Cecicevic mserbia
2 . Paulo maldin
3. Franco Baresi
4. Rais George Weah
5. Albertini
6. Boban, ambaye haruna Moshi kaiga Hilo jina kutoka kwake alikuwa mcroatia
Juventus
1. Ravaneli fabrazio
2. Roberto Baggio
3. Gianluca Viali
Beryan Munich
Lother Matthias
2. Oliver bierhoff
3. Jurgen klinsman
4. Rudi voller
Borrusia Dortmund
Chapuisat
Mathias summer
Victor ikpeba mnigria
Marseille
1. Abedi pele
Real Madrid
Ivan Zamorano mchile huyu
Barcelona
Romario
Ronald koeman
Hristo stoichkov
Sasa wanaume Yani enz hizo tishio Na Ni nyakati hizo R de lima alikuwa kinda uholanzi psv pamoja Na gaucho. AJAX AMSTERDAM Dah Ajax ilikuwa tishio chini ya kocha Luis Vaan Gal
Naanza Na waafrika watatu kutoka Nigeria waliipaisha Ajax
Sunday Oliseh
Finidi George
Nwanko Kanu
Wengine
.Frank rijkaard
.Frank de Boer
.Ronald de boer
Patrick cluivert alikuwa 19 yes alipofunga goli la pekee UEFA chmp league 1994 dhidi ya Ac M
ilan
. Clarence seedorf
.edagR davis
. Reinziger
Jari litmanen
. Edwin van der saar
Jezi Yao ilidhaminiwa Na ABN amro bank
View attachment 668693
Hiki ndio kizazi Cha mpira wenye changamoto