The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Hakuna mkuuronaldo wivu tu ndio unamsumbua
NGOJA NIKUPE HII..MESSI NA CR7 NI WACHEZAJI WA LEVEL YA U GENIUS ..KINA DELIMA NA GENERATION YKE WALIKUWA NI WACHEZAJI WAKIWANGO CHA LEVEL YA KATI "
ndio maana wakati wao ulikuwa unaushindani kwa sbabu wachezaji wa level ya kati huwa wanakuwaga wengi tofauti na wenye level ya u genius...nimewaona hao wote wakicheza na hkuna wakunidnganya ..UWEZO aliokuwa nao FIGO .ZIDANE .DELIMA .RIVALDO .OWEN .KAKA .BECKAM ..NA UWEZO WALIO NAO KINA NEYMAR OZIL .ASENSIO .HAZARD .SANCHEZ ANGEL DE MARIA COUTINHO ..NI UWEZO SAWA TU WOTE NI WACHEZAJI WAKUBWA WENYE UWEZO WAVIWANGO VYA KATI ..ILA KILICHOPO SASA HAWA WACHEZAJI WALIOPO WAKIWANGO CHAKATI WANASHINDWA KUTOA USHINDANI KWAKUWA WANACHEZA KTK WAKATI MBAYA ULIOTAWALIWA NA HAWA MAGENIUS WAWILI MESSI NA CR7 ...kama wasinge kuwapo hao ma genius basii computation ya hao wachezaji niliokutajia ingekuwapo vile vile kama ilivyokuwa awali kwa kina delima