Ronaldo hakuwa mjinga kusogeza pembeni chupa 2 za cocacola

Ronaldo hakuwa mjinga kusogeza pembeni chupa 2 za cocacola

Awiaman ooza

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2023
Posts
512
Reaction score
866
Wakuu za sahizi,

Nadhani mnakumbuka lile tukio lililofanyika 2021, la mchezaji cr7 alivyokuwa akihojiwa na akasogeza chupa 2 za coca akasema tutumie maji

Basi asee juzi kati hapa nimepitia baadhi ya threads humu nikakuta watu wanasema bidhaa za mo extra ya kuwa zina athiri maini

Na jinsi gani watu wanavyozifakamia kila leo itoshe kusema tu hizi soda sio nzuri kwa afya zetu wakuuu tuige mfano hata kwa staa wetu cr7

Na kama una adddiction kama yangu basi ni bora ukavitumia kwa moderation tu usifakamie kama ndo chakula sasa hayo maini, yataoza na utakufa tu kama huyu warumi.

#NOT HUO NI USHAURI WANGU TU HULAZIMISHWI KUUFUATA# PICHA KUSINDIKIZA THREAD 👇👇👇👇👇
download (3).jpeg
 
Ukiachana na inni, Athari kubwa ya soda (soft drinks) ipo kwenye mifupa, husababisha kitu wanaita "Low density bones"
Mtu mwenye hii condition kuvunjika ni rahisi sana, condition ikizidi hupelekea ugonjwa unaitwa osteoporosis..
 
Ukiachana na inni, Athari kubwa ya soda (soft drinks) ipo kwenye mifupa, husababisha kitu wanaitwa "Low density bones"
Mtu mwenye hii condition kuvunjika ni rahisi sana, condition ikizidi hupelekea ugonjwa unaitwa osteoporosis..
Duuuh asee ndo maana jamaa yukogo fit sana uwanjani sio haendekezi hizi garbage foods, ndo maana amekakamaa vile ni mfano mzuri sana wa kuigwa
 
Wakuu za sahizi,

Nadhani mnakumbuka lile tukio lililofanyika 2021, la mchezaji cr7 alivyokuwa akihojiwa na akasogeza chupa 2 za coca akasema tutumie maji

Basi asee juzi kati hapa nimepitia baadhi ya threads humu nikakuta watu wanasema bidhaa za mo extra ya kuwa zina athiri maini

Na jinsi gani watu wanavyozifakamia kila leo itoshe kusema tu hizi soda sio nzuri kwa afya zetu wakuuu tuige mfano hata kwa staa wetu cr7

Na kama una adddiction kama yangu basi ni bora ukavitumia kwa moderation tu usifakamie kama ndo chakula sasa hayo maini, yataoza na utakufa tu kama huyu warumi.

#NOT HUO NI USHAURI WANGU TU HULAZIMISHWI KUUFUATA# PICHA KUSINDIKIZA THREAD 👇👇👇👇👇View attachment 2598814
Watu mnapenda kuchelewa kufa , Ronaldo hakuitoa chupa kwa sababu unazotaka kutuaminisha , bali cocacola hawakulipia tangazo , wakat yy Ronaldo ni bonge la brand
 
Watunapenda kuchelewa kufa , Ronaldo hakuitoa chupa kwa sababu unazotaka kutuaminisha , bali cocacola hawakulipia tangazo , wakat yy Ronaldo ni bonge la brand
Sawa endelea kuzifakamia,
 
Duuuh asee ndo maana jamaa yukogo fit sana uwanjani sio haendekezi hizi garbage foods, ndo maana amekakamaa vile ni mfano mzuri sana wa kuigwa
wakati bongo mtu akienda kwenye junk food joints kama subway, marybrow anasnap kisa anaona anaflex... watz hama kitu kwenye kichwa, you're eating junk food and you think that's flexing, disgusting .
 
wakati bongo mtu akienda kwenye junk food joints kama subway, marybrow anasnap kisa anaona anaflex... watz hama kitu kwenye kichwa, you're eating junk food and you think that's flexing, disgusting .
Kuna classmates zangu ndo zao, au wale ma celebrities wa fake life za ig ndo zao pia hizo

Acha waendelee kuangamia maana ujinga ni gharama sana
 
wakati bongo mtu akienda kwenye junk food joints kama subway, marybrow anasnap kisa anaona anaflex... watz hama kitu kwenye kichwa, you're eating junk food and you think that's flexing, disgusting .
Halafu sijui kwanini wanaona KFC ni sehemu ya kifahari sana, wakati fast food sawa na mamantilie tu.
 
Halafu sijui kwanini wanaona KFC ni sehemu ya kifahari sana, wakati fast food sawa na mamantilie tu.
yan mkuu wakati ulaya hivyo vyakula bei raisi huku watu wanapigwa, kuna sehemu nyingine ukinunua big mac soda ni bure unakinga tu kwenye fridge dispenser ...wakileta hiyo bongo tujiandae na obesity +diabetes
 
Back
Top Bottom