Awiaman ooza
JF-Expert Member
- Mar 25, 2023
- 512
- 866
- Thread starter
- #41
Nani huyo mzee kikweteIla ninyi ndo wakwanza kujipiga mapicha na ma kfc na macoca cola pmbavu
Sisi hatuna ulimbukeni huo mkuuuu 😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani huyo mzee kikweteIla ninyi ndo wakwanza kujipiga mapicha na ma kfc na macoca cola pmbavu
Znaharibu figo kwa harakaEnergy Drinks zinapendwa Sana.
Naona unamtetetea huyo choko mwenzako aliyekufa vipi alikuwa ndugu yako nn 🤔🤔"Na kama una adddiction kama yangu basi ni bora ukavitumia kwa moderation tu usifakamie kama ndo chakula sasa hayo maini, yataoza na utakufa tu kama huyu @warumi." Isome hii paragraph mara mbili, ungeweza kuandika bila kuhusisha majina ya watu.
Moderators mpo wapi?
Hii hata ukichanganya na mikojo , haipunguzi chochote, content zilizomo ni zilezile ila unapunguza dilution tu.Naona nikichanganya na maji napunguza mzuka WA kikali. Nishauri niwe nachanganyia nini mbali na maji Mzee baba
Ahahaha daaah mwanangu hatari sanaInategemea ume order Sandwich or Combo
Sandwich inakuja burger 🍔 tu
Combo inakuja na burger 🍔 &🍟 na 🥤
Soma terms za Jamiiforums kuhusu privacy ya mtu kisha urudi hapa ku-commentNaona unamtetetea huyo choko mwenzako aliyekufa vipi alikuwa ndugu yako nn 🤔🤔
Hizo terms nazijua sanaSoma terms za Jamiiforums kuhusu privacy ya mtu kisha urudi hapa ku-comment
Mwenye macho na aone we fakamia tuSawa wewe hunywi haya tuambie Huo mwili unamtunzia nani akaufaidi huko kaburini
"Hizo terms nazijua sana
Ila mfu ni mfu tu hatakaa arudi tena huku duniani yy tayari ni udongo hana chake huku
Acha niwaelimishe watu
Exactly 💯😁😁"
yy tayari ni udongo hana chake huku
Acha niwaelimishe watu"
Kitambo veta, aspertame chemical sustance thay is 150 sweeter than sugar tend to absorbe the calcium from your bone kama nakumbuka lakinUkiachana na inni, Athari kubwa ya soda (soft drinks) ipo kwenye mifupa, husababisha kitu wanaita "Low density bones"
Mtu mwenye hii condition kuvunjika ni rahisi sana, condition ikizidi hupelekea ugonjwa unaitwa osteoporosis..
hiyo chemistry umeitoa wap?Vipi kuhusu zile AZAM ENERGY. Maana Mimi huwa nazitumia kuchanganyia kwenye konyagi ama k-vant.
Sawa mpumbavu endelea kufakamia tu ufe tule pilau yetu 😀😅Utakufa kwa ajali kama haizitakuua junk foods,,,Yaani kiufupi kufa kupo tuu,,,unataka uishi miaka mia mbili kwani wewe kobe???wakina adamu wenyewe inavyosemekana waliishi miaka mia sita huko na bado wakafa,,cha msingi ni kila kitu kufanya kwa kiasi basii!!
50 mbali sana mkuuuu itakuwa ni 40's tuBaada ya miaka 20 mbele life span ya wabongo itakua ni miaka 50
Uko vizurii... Veta yako bado haijapoteaaa😄😄Kitambo veta, aspertame chemical sustance thay is 150 sweeter than sugar tend to absorbe the calcium from your bone kama nakumbuka lakin