Awiaman ooza
JF-Expert Member
- Mar 25, 2023
- 512
- 866
- Thread starter
-
- #21
Wewe jihesabie tutakuzika tu ππππ¬π¬π¬π¬. Anza kujenga kaburi lako kabisaVipi kuhusu zile AZAM ENERGY. Maana Mimi huwa nazitumia kuchanganyia kwenye konyagi ama k-vant.
achana nazo, bora maji...Vipi kuhusu zile AZAM ENERGY. Maana Mimi huwa nazitumia kuchanganyia kwenye konyagi ama k-vant.
Chakula KFC bei gani?Halafu sijui kwanini wanaona KFC ni sehemu ya kifahari sana, wakati fast food sawa na mamantilie tu.
Kweoi aseee kule kwa wenzetu kupata chakula natural from mama ntilie unaweza pigwa mpaka 1200$ ila huku ni 4000 tu kitu fresh from shambani cheki sasa hapo ilivyo nongwayan mkuu wakati ulaya hivyo vyakula bei raisi huku watu wanapigwa, kuna sehemu nyingine ukinunua big mac soda ni bure unakinga tu kwenye fridge dispenser ...wakileta hiyo bongo tujiandae na obesity +diabetes
15,000 kwenda juuChakula KFC bei gani?
Naona nikichanganya na maji napunguza mzuka WA kikali. Nishauri niwe nachanganyia nini mbali na maji Mzee babaachana nazo, bora maji...
WeweeeeeeeeWewe jihesabie tutakuzika tu ππππ¬π¬π¬π¬. Anza kujenga kaburi lako kabisa
View attachment 2598897
Nakwambia sasa kama huamini nimekaa pale ππππππππ.Weweeeeeeee
club soda....nimecheka me mwenyewe kikali napiga...Naona nikichanganya na maji napunguza mzuka WA kikali. Nishauri niwe nachanganyia nini mbali na maji Mzee baba
tunywe maji ndio uhai, tuachane na soda hiziKwann unasema hivyo mkuu
Asante π―π―tunywe maji ndio uhai, tuachane na soda hizi
unaonaaaKweoi aseee kule kwa wenzetu kupata chakula natural from mama ntilie unaweza pigwa mpaka 1200$ ila huku ni 4000 tu kitu fresh from shambani cheki sasa hapo ilivyo nongwa
π―π―π―Ushauri kuntu.
Inategemea ume order Sandwich or Comboyan mkuu wakati ulaya hivyo vyakula bei raisi huku watu wanapigwa, kuna sehemu nyingine ukinunua big mac soda ni bure unakinga tu kwenye fridge dispenser ...wakileta hiyo bongo tujiandae na obesity +diabetes
, πππππ―π―π―π―π―Inategemea ume order Sandwich or Combo
Sandwich inakuja burger π tu
Combo inakuja na burger π &π na π₯€
Bro sijakula kfc ya bongo bado bei yake sijui.Chakula KFC bei gani?