Ronaldo kama ataendelea na tabia zake za ovyo basi atajipotezea heshima yake ndani ya Dunia ya Soka

Ronaldo kama ataendelea na tabia zake za ovyo basi atajipotezea heshima yake ndani ya Dunia ya Soka

Ali Nassor Px

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2022
Posts
2,384
Reaction score
3,926
Jana 20 October 2022 ilichezeka mechi kati ya Manchester United na Tottenham Spurs, mechi za Ligi Kuu ya Uingereza EPL na mechi ikaisha kwa ushindi kwa Manchester United iliondoka na ushindi wa goli 2 kwa 0 ndani ya dimba la Old Trafford.

Tukio lililovuma zaidi la Cr7 timu yake ilishinda mchezo mkubwa, lakini kwa kuwa hakucheza, aliondoka kwenye mchezo kabla ya filimbi ya mwisho, hakusherehekea na wenzake. Hii inaenda kupoteza heshima ya goat kama huyu japo ana rekodi za kutisha.

Ukitazama enzi za Maradona na Pele wakati Maradona yupo hai, hakutumiwa sana na FIFA kutokana na mtindo wake wa maisha japo alikuwa mkali sana enzi anapiga mpila uwanjani.

FIFA icon yao ilikuwa na bado ni Pele, sasa naona ili suala linaenda kujirudia tena miaka ya hivi karibuni. FIFA itampa nguvu sana Messi kuliko Cr7 kutokana na tabia zake. Ni wakati wa kujirekisha sasa.

1666243934261.jpg
 
sasa na nyinyi mnapelekeshwa na huyo mtu ambae zama zake zimekwisha,timu imepata ushindi hata asiposhangilia aijalishi kikubwa dirisha dogo atemwe.
unaposem zama zake zimekishwa unamkosea sana. cha umihm aachiwe tu aend kupambana sehem nyngne inawezkan sio aina ya mchezaj anayeenda n mahitaj ya kocha aliyekuwep ss hv
 
unaposem zama zake zimekishwa unamkosea sana. cha umihm aachiwe tu aend kupambana sehem nyngne inawezkan sio aina ya mchezaj anayeenda n mahitaj ya kocha aliyekuwep ss hv
Aje yanga...ingawa sidhan kama kuna mtu atamuweka benchi pale
 
aliwekwa benchi mata enzo hizo mpaka anastaafu kwa heshima..
 
Ronaldo anawakumbusha wanaume wote kwamba usirudiane na ex wako ni kosa kubwa la kiufundi
 
Back
Top Bottom