Ronaldo vs Messi, bado mbili tu

Ronaldo vs Messi, bado mbili tu

Mark my words, kufungwa kwa madrid na atletico sio guarantee kuwa barca itawafunga madrid. Mark my words, march 22, barca anakaa tena kwa madrid kama alivyokaa mwanzoni mwa msimu.

Naona mnamuongelea messi kumfikia ronaldo, wakati ronaldo alifunga hizo goli 22 huku akiweka rekodi saafi kabisa ambayo messi hajawahi kuiweka. Katika ufungaji messi atasubiri sana kwa ronaldo. Kwa miaka 5 aliyokaa la liga, ana magoli mengi sana kumzidi messi

Halla madrid..!

Baada ya kutumia sigara kubwa ndip ukaandika hapa
 
Mpaka dakika hii mimi nahesabia Barca wana asilimia 100% ya kombe moja mkononi yaani Copa del Ray.
Madrid hawana matuamini ya Kombe lolote lile, kwenye Lig muda wowote anatoka pale kileleni.
Na mwezi ujao wanapoenda Camp Nou, Barcelona hawawezi kuwaacha.
UEFA anaweza akasogea kimtindo ila sio kuchukua kombe.
Ronaldo mwaka huu habebi Kombe lolote lile akiwa na Madrid na wala kiatu cha dhahabu kubeba kwake ni ngumu sana ijapokuwa alikuwa na mwanzo mzuti. Kutoka magoli 14 mpaka mawili si mchezo.

Mleta thred kaongea ukweli na wewe umechemka
 
Mark my words, kufungwa kwa madrid na atletico sio guarantee kuwa barca itawafunga madrid. Mark my words, march 22, barca anakaa tena kwa madrid kama alivyokaa mwanzoni mwa msimu.

Naona mnamuongelea messi kumfikia ronaldo, wakati ronaldo alifunga hizo goli 22 huku akiweka rekodi saafi kabisa ambayo messi hajawahi kuiweka. Katika ufungaji messi atasubiri sana kwa ronaldo. Kwa miaka 5 aliyokaa la liga, ana magoli mengi sana kumzidi messi

Halla madrid..!

Lete Data kutetea maneno yako, unajua Record za Madrid pale Camp Nou? Madrid ya msimu uliopita ilikuwa ni nzuri sn na haikuwa na majeruhi mengi kama sasa na ikakaa Camp Nou. Madrid hana uwezo wa kuchomoka Camp Nou.
 
Lete Data kutetea maneno yako, unajua Record za Madrid pale Camp Nou? Madrid ya msimu uliopita ilikuwa ni nzuri sn na haikuwa na majeruhi mengi kama sasa na ikakaa Camp Nou. Madrid hana uwezo wa kuchomoka Camp Nou.

Haaahaaha, hakuna cha data hapa. Match hiyo ipo open sana, usiifananishe madrid ya mourinho na hii ya Anceloti, msimu uliopita barca alikaa na kuambulia sare, na msimu huu first leg amekaa. Just wait and see, kumfunga kwenu atletico sio guarantee kuwa mtaifunga The galactico kirahisi.

Mpaka kufikia march 22 modric, ramos, james watakuwa wamesharejea.

Lets wait and see.
 
Haaahaaha, hakuna cha data hapa. Match hiyo ipo open sana, usiifananishe madrid ya mourinho na hii ya Anceloti, msimu uliopita barca alikaa na kuambulia sare, na msimu huu first leg amekaa. Just wait and see, kumfunga kwenu atletico sio guarantee kuwa mtaifunga The galactico kirahisi.

Mpaka kufikia march 22 modric, ramos, james watakuwa wamesharejea.

Lets wait and see.

Mkuu wewe unazungumzia Barca ipi?
Msimu uliopita Barca alimpiga Madrid nje ndani kwenye ligi.
Kombe la mfalme dakika 90 ziliisha ikawa Bila bila. Dakika za nyongeza Madrid akashinda.
Niletee Data zinazoonesha Barca alikaa kwa Madrid na kuambulia Sare.
 
Pia Ronaldo alikuwa na Historia ya Hat Trick 23 La Liga huku Messi akiwa na 21. Ila kwa sasa wote wapo sawa.
Nampenda sana Messi, hana madoido ya kijinga uwanjani, anachoangalia yeye ni namna gani anaweza akasaidia timu ikapata ushindi ndani ya Uwanja mda wowote.
Nimemuona Ronaldinho akiwa Barca ila kwa Messi hapana aiseee.
Cristiano umri unaenda, Messi ndo kwanza ana 27. Messi ana nafasi kubwa ya kuweka Record nyingi zaidi hapa duniani.

Ww ni moja kati ya wafuatiliaji wazuri wa soka ususani premiera divisio yani ligi kuu soka nchini spain hasa pale la masaih watoto wa catalunya huo ndio wasifu wa messi anaangalia ataisaidia vp timu kwa wakat husika
 
Ronaldo tangu kapata ballon dor dec mwaka jana kafunga goli 3 tu katika mechi 12
 
Mark my words, kufungwa kwa madrid na atletico sio guarantee kuwa barca itawafunga madrid. Mark my words, march 22, barca anakaa tena kwa madrid kama alivyokaa mwanzoni mwa msimu.

Naona mnamuongelea messi kumfikia ronaldo, wakati ronaldo alifunga hizo goli 22 huku akiweka rekodi saafi kabisa ambayo messi hajawahi kuiweka. Katika ufungaji messi atasubiri sana kwa ronaldo. Kwa miaka 5 aliyokaa la liga, ana magoli mengi sana kumzidi messi

Halla madrid..!

mkuu hujui unachosema
 
Ww ni moja kati ya wafuatiliaji wazuri wa soka ususani premiera divisio yani ligi kuu soka nchini spain hasa pale la masaih watoto wa catalunya huo ndio wasifu wa messi anaangalia ataisaidia vp timu kwa wakat husika

Sina hakika kama Madrid atabeba kombe lolote msimu huu.
 
Halafu Penaldo huwa ana magoli mengi kupitia penalties...

Hii ipo misimu karibia yote aliyocheza Madrid...

Hadi sasa kwa msimu huu kati ya hayo magoli 28 ya Penaldo, magoli 8 ni kupitia matuta wakati Messi katika magoli hayo 26 ana magoli 2 tu ya matuta...

Hivyo katika open play, Messi kascore zaidi ya Penaldo aka Crynaldo...

Hapo bado sijataja 13 assists za Messi huku Penaldo akiwa na 10 assists...

Kitu kimoja nachomshukuru Mungu, ni kumleta Messi katika kipindi hiki ambacho namshuhudia nikiwa sijaanza kutumia miwani.

Kitu kimoja watu hawakijui, Laiti mpira ungekuwa unaongea, halafu uulize mpira nani anautendea haki kati ya Messi na Ronaldo, bila shaka mpira ungejibu ni Lionel Messi.

Ni dhambi kubwa sana kuwafananisha hawa watu.
 
Bahati mbaya huwa hamrudi kuleta mrejesho. Ila this time nimewaandika kwa wino, mwisho wa msimu nitawaita hapa tuone nani kapata nini.
 
Bahati mbaya huwa hamrudi kuleta mrejesho. Ila this time nimewaandika kwa wino, mwisho wa msimu nitawaita hapa tuone nani kapata nini.

tayari Ronaldo kaaga kombe moja. Kombe la mfalme.
Hana mda mrefu atachomoka kileleni mwa ligi.
Huu msimu Ronaldo habebi kitu.
 
Bangi bhana Ronaldo ana magoli 28 messi26.wavuta bangi wanaona messy kafunga zaidi.hivi 28 na 26 ni sawa.tupende kwa kipimo.
 
Back
Top Bottom