logician mkuu
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 792
- 221
Kiukweli wachezaji wote hawa wawilii ni wachezaji wa pekee. Wote wawili wamejitofautisha kabisa na wengine, na mafanikio yao yanazidiana mwaka hata mwaka.
Ninachokiona hapa ni kuwa wanaompenda Messi wana muelekeo wa kumchukia Ronaldo, na wanajaribu kutafuta points za kumshusha Ronaldo.
Walio wakweli watakubali kuwa wote wawili wako juu.
Nani zaidi? Hili halina jibu la moja kwa moja, bali kuna miaka ya Ronaldo na miaka ya Messi.
Note: Ronaldo kafunga bao 5, zote ni za open play, na hivyo kwa sasa ana magoli mengi ya open play, na ya penalti pia.
Ninachokiona hapa ni kuwa wanaompenda Messi wana muelekeo wa kumchukia Ronaldo, na wanajaribu kutafuta points za kumshusha Ronaldo.
Walio wakweli watakubali kuwa wote wawili wako juu.
Nani zaidi? Hili halina jibu la moja kwa moja, bali kuna miaka ya Ronaldo na miaka ya Messi.
Note: Ronaldo kafunga bao 5, zote ni za open play, na hivyo kwa sasa ana magoli mengi ya open play, na ya penalti pia.