mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Pamoja na ukweli kuwa R7 kwa sasa hana kasi yake ile ya zamani lakini Ronaldo wa kwenye kombe la dunia ameonekana kuwa tofauti sana na yule Ronaldo wa EPL kama mchezaji wa Man U.
Jana R7 kaibuka man of the match (mchezaji bora kwenye mechi)!!. Mchango wake kwenye mechi ulikuwa mkubwa sana ukiachilia mbali goli alilofunga kwa tuta!
Nadhani pamoja na kuwa na miaka 37, timu itakayomchukua bado ataifanyia makubwa kama watamheshimu na kumpatia nafasi!
Ronaldo na miaka 37 lakini bado anawakimbiza vijana ni hatari!! Ukiwauliza mabeki wa Ghana watakuambia Ronaldo msikiage tu!!
Jana R7 kaibuka man of the match (mchezaji bora kwenye mechi)!!. Mchango wake kwenye mechi ulikuwa mkubwa sana ukiachilia mbali goli alilofunga kwa tuta!
Nadhani pamoja na kuwa na miaka 37, timu itakayomchukua bado ataifanyia makubwa kama watamheshimu na kumpatia nafasi!
Ronaldo na miaka 37 lakini bado anawakimbiza vijana ni hatari!! Ukiwauliza mabeki wa Ghana watakuambia Ronaldo msikiage tu!!