Ronaldo wa kombe la dunia kama mchezaji wa ureno anaonekana ni tofauti kabisa na yule Ronaldo wa EPL kama mchezaji wa Man U: Hii imekaaje?

Naomba ufafanue zaid hapo kwenye kibiashara,kwamba hao wenye majina makubwa ndo wanaomba au
 
DUH !! uliangalia mpira kweli ? Ushabiki mwingine ni zaid ya ujinga.

Cr7 jana hajafanya chochte cha maana zaid ya kufunga ile penat. Yaan hakua na madhara yoyote kwa beki za Ghana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…