reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,813
- 21,807
kcamp & Jury ,
Asanteni kwa somo,
Mm ni mtundu tundu kiasi chake kwenye electronics, specifically software, ila suala la rooting SINA NINACHOJUA, nahitaji kuifanyia rooting hii simu yangu, lkn pia kujifunza ili siku nyingne nifanye mwenyewe.... Ningeomba kukutana na mmoja kati yenu km inawezekana, afanye huku naona nami nijifunze.
Natumia
Samsung A9 Pro 2016
SM-A9100.
Android 6.0.1
Asanteni kwa somo,
Mm ni mtundu tundu kiasi chake kwenye electronics, specifically software, ila suala la rooting SINA NINACHOJUA, nahitaji kuifanyia rooting hii simu yangu, lkn pia kujifunza ili siku nyingne nifanye mwenyewe.... Ningeomba kukutana na mmoja kati yenu km inawezekana, afanye huku naona nami nijifunze.
Natumia
Samsung A9 Pro 2016
SM-A9100.
Android 6.0.1