Root simu ya android yoyote ukitumia magisk

Root simu ya android yoyote ukitumia magisk

Umefanikiwa kuroot?


  • Total voters
    24
Knox yako iko tripped huwezi kutumia apps ambazo ziko related na knox.
Kuna namna ya kufake kwa custom kernel lakini ni very complicated.
Cha msingi achana na apps za samsung zenye uhusiano na knox.
Mkuu simu yangu ipo rooted hivyo ina version ya zamani sana 5.1.1 unaweza kunisaidia kuiweka katika latest version
 
Mkuu inabidi ujue maana ya kuroot simu,kama wewe ni mpenzi wa teknolojia lazima utaujua umuhimu wa kuroot.

Smartphone inaweza fanya mengi lakini isipokua rooted inakua limited kama unatumia computer utajua tofaut kati ya administrator na guest user ivo ndivyo ilivyo kwenye sim,ikiwa rooted unakua administrator user isipokua rooted unakua guest user ni kama kumiliki gari afu ukaendeshwa iyo ndo sim isiyo rooted au ukaendesha gari mwenyew iyo ndo kuroot

So kuroot ni kuchukua control ya simu ili kufanya customization na modification vile unavotaka wewe simu iwe na sio kwamba unapata bando la free internet au dakika za kupiga mitandao yote au sms mpaka simu yako iharibike
ni setting gani kwa mfano ukijaribu kuibadilisha inakwambia "huwezi huna root"

onyesha screen shot
 
Back
Top Bottom