Rosa Ree afunguka mazito, aonesha kuwa anapitia magumu sana

Rosa Ree afunguka mazito, aonesha kuwa anapitia magumu sana

Huyu muda tu anaonekana Ana matatizo ya Akili! Anaiga life style ya Madada wa USA.Ambao wana pesa na awana Majukumu au Family issues ! Aliolewa mwaka jana ila kwa tabia zake sizani kama ataweza ishi na Mume na huenda amesha achwa😭. Kuna life ukiamua kuliishi unatakiwa milele usiwaze Owa au kuolewa ! Kwani Jamii inakuja kukufahamu tofauti na akili yako ilivyo. Na ukisha kuwa upande wa kushoto uwezi rudi upande wa Kulia na jamii iliyokuzunguka hikaamini kuwa umebadilika.Anahitaji tiba ya akili. Vinginevyo titampoteza
 
IM NOT FINE! Mara nyingi naulizwa “How are you?” Nasema “I’m fine” kusema tu ila sio kumaanisha. But now I admit IM NOT FINE!
Napitia mambo mazito mpaka naona giza tu. Inaumiza kwamba haijalishi ninachopitia lazima niendelee kuonyesha furaha kwenye mitandao kana kwamba niko sawa. Kila siku napaswa niendelee kutimiza jukumu la kuwaburudisha, kupromote album, kutoa ngoma mpya, kurecord, kushoot videos na kuinspire jamii. SIKO SAWA! NAUMIA! NAPITIA MAMBO MAZITO KUYABEBA! NAONA KIZA! NAJIULIZA MASWALI MAJIBU SIPATI! Na kwa wakati huu Nani nimuendee? Mmepata burudani kutoka kwangu ila nikiwa sipo sawa mnanisaidiaje?? Nawaza sometimes kuwa wazi na haya ninayoyapitia ila nashindwa maana najua wengine watanicheka, wengine watanisema, wengine watanitenga na wengine hawatajali kabisa. Nyinyi si ndio familia yangu, sasa wapi niende?
Nikizungumza ninayoyapitia yatakua tu headlines ya story kwenye page za udaku? Nitapigiwa simu kufanya interviews ili media zipate story? Yani maisha yangu ni sinema tu kwa ajili ya kuwapa watu views? Na hisia zangu je? Na hata nikiwa sipo maisha si yataendelea tu????…..Honestly, IM NOT FINE!

Amefunguka kupitia page yake ya instagram...View attachment 2581071
View attachment 2581114View attachment 2581115
Weka video
 
IM NOT FINE! Mara nyingi naulizwa “How are you?” Nasema “I’m fine” kusema tu ila sio kumaanisha. But now I admit IM NOT FINE!
Napitia mambo mazito mpaka naona giza tu. Inaumiza kwamba haijalishi ninachopitia lazima niendelee kuonyesha furaha kwenye mitandao kana kwamba niko sawa. Kila siku napaswa niendelee kutimiza jukumu la kuwaburudisha, kupromote album, kutoa ngoma mpya, kurecord, kushoot videos na kuinspire jamii. SIKO SAWA! NAUMIA! NAPITIA MAMBO MAZITO KUYABEBA! NAONA KIZA! NAJIULIZA MASWALI MAJIBU SIPATI! Na kwa wakati huu Nani nimuendee? Mmepata burudani kutoka kwangu ila nikiwa sipo sawa mnanisaidiaje?? Nawaza sometimes kuwa wazi na haya ninayoyapitia ila nashindwa maana najua wengine watanicheka, wengine watanisema, wengine watanitenga na wengine hawatajali kabisa. Nyinyi si ndio familia yangu, sasa wapi niende?
Nikizungumza ninayoyapitia yatakua tu headlines ya story kwenye page za udaku? Nitapigiwa simu kufanya interviews ili media zipate story? Yani maisha yangu ni sinema tu kwa ajili ya kuwapa watu views? Na hisia zangu je? Na hata nikiwa sipo maisha si yataendelea tu????…..Honestly, IM NOT FINE!

Amefunguka kupitia page yake ya instagram...View attachment 2581071
View attachment 2581114View attachment 2581115
Ndio nani huyo Loza Lii? Halafu huyo pichani ni jinsia Gani
 
Back
Top Bottom