stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Hata Bill Nas aliangalia vizuriTazameni hapa miguu ya Rosa Ree inavyovutia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Bill Nas aliangalia vizuriTazameni hapa miguu ya Rosa Ree inavyovutia
Watu wakishashiba bangi wanaona hawana Cha kuandika na ku-post zaidi ya bangi bangi as for me nakuelewa Rosa Ree ninachokielewa artist appearance n artistic ways of expressions differ from one Artist to another, that's what I know you know I meanNdo tumefika huku🙃
Alafu wahuni wanasema hawamuelewiMulla mula mulla eh... Bonge la ngoma huyu bidada anajua sana
Usichokipenda wewe wapo wanaokipenda hata mama yako wapo wanaomshangaa baba yako alimpendea nini mwanamke mwenye matako makubwa kwani yeye ni mf*Raji ?Huwa najiulizaga bwana wake manywele alimpendeaga nini huyu maana na hivyo vimatako kama ndimu.
Unataka kuniambia humjui auni mibangi ?Ndio nani na yupo wapi hapo kati yao huyo Loza Lii
Ni ujingaImmagine watu wakubwa kabisa wamekaa wanafanya body shaming 🤷♂️ kweli kabisa hakuna ishu nyengine ya kujadili?
Huwa najiulizaga bwana wake manywele alimpendeaga nini huyu maana na hivyo vimatako kama ndimu.
JF raha sana aisee[emoji23][emoji23][emoji23]Huwa najiulizaga bwana wake manywele alimpendeaga nini huyu maana na hivyo vimatako kama ndimu.
Manywele wameachana muda mrefu sanaaa 💔Tazameni hapa miguu ya Rosa Ree inavyovutia , mtoto guuu guuu 😂😂😂😂😂.
Sema Rosa Ree naona kaacha kumpost yule bwana wake manywele maana kule insta tulikuwa hatupumui .
View attachment 2573922
[emoji23][emoji23]Vijana wa dar bana,wewe mbona unampenda diamond pamoja na kwamba ana miguu kama mti wa bendera???
Duuuh hii ndio April 2023 diamond km unapita kuna mdau kaku mouth wash huku,Vijana wa dar bana,wewe mbona unampenda diamond pamoja na kwamba ana miguu kama mti wa bendera???
Asa unataka ale wapi mkuu... support na yeye aishi. Na yeye ana familia mkuuSijawahi kumkubali hata kidogo na siwezi vumilia kusikiliza nyimbo zake
Namkubari sana huyu mtoto wa kike daah Ila acha life lisonge siku moja nitamwaga verse