Mkuu wa Maelezo
Member
- Oct 17, 2015
- 46
- 46
Hivi atakuja kutokea Miss TZ mrembo na sexy kama Hoyce Temu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1995 Shose SinareMashindano ya taji la Miss Tanzania kwa mwaka 2020 yamefika tamati leo tarehe 5/12/2020 na Mshindi wake kutangazwa kutokana na maoni ya majaji na wapiga kura. Jina lake anaitwa Rose Manfere na namba yake ya ushiriki ilikuwa ni namba 14. Huyu ndiye ataiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss world huko Brazil. Kwenye historia ya mataji ya Miss Tanzania, Ukitoa lile la Miss Tanganyika aliloshinda mzungu mmoja wa kikoloni, huyu anakuwa ni Miss wa 24 tangu mwaka 1964. Baadhi ya picha zake.
View attachment 1642771View attachment 1642772
Orodha ya Mamiss waliomtangulia huku ikiambatana na mwaka waliochukua mataji:
Jina Mwaka Theresa Shayo 1967 Aina Maeda 1994 Emily Adolf
1995 Shose Sinare 1996 Saida Kessy 1997 Basila Mwanukuzi 1998 Hoyce Temu 1999 Jacqueline Ntuyabaliwe 2000 Happiness Magese 2001 Sylvia Bahame 2003 Faraja Kotta 2004 Nancy Sumari 2005 Wema Sepetu 2006 Richa Adhia 2007 Nasrin Karim 2009 Miriam Gerald 2009 Genevieve Emmanuel 2010 Salha Israel 2011 Brigitee Alfred 2012 Happiness Watimanywa 2013 Lilian Kamazima 2014 Diana Edward 2016 Queen Elizabeth Makune 2018 Rose Manfere 2020
Video inayoonesha Rose akitangazwa ushindi wa Taji la Miss Tanzania 2020.
Hatuna furaha!Nashangaa mwaka huu sikuona hata post 1 kwenye mitandao!
Halafu wote 10 ni pisi kali.1995 Shose Sinare
1996 Saida Kessy
1997 Basila Mwanukuzi
1998 Hoyce Temu
1999 Jacqueline Ntuyabaliwe
2000 Happiness Magese
2001Sylvia Bahame
2003 Faraja Kotta
2004 Nancy Sumari
2005 Wema Sepetu
Baada ya hapa mashindano haya yalipoteza mvuto kbs na wengi walishasahau kama kuna hiki kitu kinaendelea.
Waandaaji wajitathimini kwa hili.
Simba wazee wengi sana mjini kama huyu mzee hapaMwenye nambza zake anisaidie PM
[emoji16][emoji16]nipe namba yake nimsabahiMama Gaude wangu ni mrembo kuliko wote hapo juu, sema hapendi mambo ya show off tu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Waru wa Mbeya wanalalamika hawajioni tangu MT inaanza. Noma sana!
Film zenyewe hazina market nani atakaye watazama sasa !?Hawa wengne kuanzia wa 2 mpaka 20 muda si mrefu tutawaona kwenye filamu za bongo
Demu wa kawaida tu acha kubabaika na Photoshop
Wapi Angela Damas kwenye hii list yako?
| Theresa Shayo | 1967 |
| Aina Maeda | 1994 |
| Emily Adolf | 1995 |
| Shose Sinare | 1996 |
| Saida Kessy | 1997 |
| Basila Mwanukuzi | 1998 |
| Hoyce Temu | 1999 |
| Jacqueline Ntuyabaliwe | 2000 |
| Happiness Magese | 2001 |
| Angela Damas | 2002 |
| Sylvia Bahame | 2003 |
| Faraja Kotta | 2004 |
| Nancy Sumari | 2005 |
| Wema Sepetu | 2006 |
| Richa Adhia | 2007 |
| Nasrin Karim | 2008 |
| Miriam Gerald | 2009 |
| Genevieve Emmanuel | 2010 |
| Salha Israel | 2011 |
| Brigitee Alfred | 2012 |
| Happiness Watimanywa | 2013 |
| Lilian Kamazima | 2014 |
| Diana Edward | 2016 |
| Queen Elizabeth Makune | 2018 |
| Rose Manfere | 2020 |
Usiku wa kuamkia leoMiss Tanzania, imefanyika lini?