Molleli
Senior Member
- Aug 29, 2020
- 185
- 165
I still work on itPicha tafadhali,,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I still work on itPicha tafadhali,,
Watu hawana furaha,wameshindwa kufuatilia!Miss Tanzania, imefanyika lini?
🤣🤣 Unazungumzia furaha ipi aisehWatu hawana furaha,wameshindwa kufuatilia!
Kwaiyo Rose manfere kamzidi Ile pisi ya chuga mzee?“KILA KUBWA INA KUBWA YAKE”. Kwa hiyo katika hizo pisi kali lazima ipo iliyo kali kuzidi ingine
Atakua wa Dar uyo Anaitwa Rose ManfereHuyu anatoka mkoa gan?
Huyu apaPicha tafadhali,,
Wacha nitafute pesa sasaHuyu apa
No pikituleKigezo kipi kawazidi wenzake naomba kujuzwa kwa anae jua maana pisi zote zilikua kali aiseh
TayariEm wekeni picha na sisi tusiokua na muda wa kufuatilia hayo mashindano tusafishe macho
Ili ukamuoe mzee😁😁Wacha nitafute pesa sasa
Nshaweka apo juuNo pikitule
HahahahahhahahaMamisi siku hizi maziwa yamelala kama ndala
Kazi ipo
Kuna pisi moja ivi ni hatari ilikuaKwhyo ulitaka woote wawe miss national!?mbna km cjakuelewa!!!
Toto lipo vizuri kwa kweliHuyu apa
Bro wengine washapotea hata picha zao hakuna sijui wamefuta kwa hasira😁Naona mnaongea kivirtual virtual tu,picha zao ziko wapi sasa hao mnaowazungumzia?