mkali kwanza
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 1,301
- 1,181
Mikononi mwa polisi afandeeee in sugu voice
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania bado mkuu kwanza tunapenda kuishi fujo fujo hatupendiHiyo ni Armenia mkuu,
Khs kwetu Ondoa kabisa wazo hilo.
Mafuriko ya kwny Instagram
Alhamis ikifika mkiona mmepuuzwa mtakuja Na mambo ya CAG mtasahau ya Maandamano
Inashangaza sana Makarai kumuamini Mange kuliko Chama chao
Watakuja kama nzi hahahahaVijana Wamekuwa wapuuzi wakutupwa
Ukamuamini Malaya wa Insta kweli
Mswahili muda wote huwa anawaza mambo ya chini,inamaana hujaona kitu kingine Mkuu tofauti na hyo pichu!
Muhuni?mbona amevaa nguo inayoobesha ndani?
inaweza ikawa sio muhuni, ila si kila mtu anajua kuchagua nguo, yeye ni mtu wa kukutana na watu saa zote, awe makini!Muhuni?
Waziri mkuu wa Armenia amemaliza vipindi vyake viwili vya miaka mitano mitano kama Rais na kuamua kufanya uhuni wa kubadili katiba kutoka presidential system kwenda Parliamentary system na kujichagua kuwa Waziri Mkuu tena. Ambaye amefanya huu uhuni Tz ni Nkurunzinza Mbowe kwa kuwa mwenyekiti wa maisha CDM.Armenia leo waziri mkuu ameondolewa madarakani na nguvu ya umma huko saa hizi ni sherehe.
hahahahahaahWaziri mkuu wa Armenia amemaliza vipindi vyake viwili vya miaka mitano mitano kama Rais na kuamua kufanya uhuni wa kubadili katiba kutoka presidential system kwenda Parliamentary system na kujichagua kuwa Waziri Mkuu tena. Ambaye amefanya huu uhuni Tz ni Nkurunzinza Mbowe kwa kuwa mwenyekiti wa maisha CDM.
KATAA KUWA NYUMBXXX.
Kamanda Rose hahahaha kanguo sio mchezo kaleKamanda wa hivi?, Chadema mtaolewa wootee! [emoji16][emoji16][emoji16]
Ukweli ni kwamba watanzania umaskini tu umetosha kutufanya tusiandamane nani anapenda kufa bana?Hawa watu wanachekesha watazuia wangapi maandamano yapo pale pale tarehe 26/4 mambo ni moto
Ushaona kote uko duh kila mtu na kazi yakee
Subiri atakapokamatwa kamanda mkuu aliyejichotea 1.5 trKamanda gani anakamatwa?? Au Kamanda uchwara?? Plus Advocate uchwara!!
Dah...kama Yale ya mamvi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanajaribu kuzuia mafuriko kwa mikono!
Mwenzenu anakula bata Marekani acheni ujinga. Chapeni kazi acheni kupoteza muda wenu, wetu na mapolisi. Wastage of time!Tarehe 26 mwezi wa 4 ni noma aisee! They're trying soo hard to find the CHADEMA connection there but in vain.