Tetesi: Rose Mayemba amekamatwa na Polisi Mkoani Njombe

My love Rose Mayemba

Wewe si una jiita kamanda? Sasa kamanda gani una kamatwa? Kwanini usipambane kamanda? Wewe ni kamanda wa mabox basi
nilikukanya wala hukusikia sasa una vuna ulicho panda na wala ubunge wa viti maalum hajapewa pamoja na kuahidiwa....
 
Mwenzenu anakula bata Marekani acheni ujinga. Chapeni kazi acheni kupoteza muda wenu, wetu na mapolisi. Wastage of time!
usipangie watu cha kufanya, hapo ndo tatizo linapoanzia![HASHTAG]#burekabisa[/HASHTAG]
 
Bila Polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
 
Kumbe mrembo hivi. Msalimieni mrembo Mayembe Rose huko aliko
 
Thread kama hizi moderators wa jf kicheko lakini za wazalendo wanazinyonga kwelikweli, haya uwanja wenu huu lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…