Sawa kama ilivyo KWA watanzania wote tuna njaa chadema. Nao ni watz ,Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Njombe Rose Mayemba,baada ya kuzinduliwa mpango mahususi wa kuchangia Chama (Join the chain) ametoa wito kwa wanachama kuendelea kutoa michango kwa kuwa haiwezekani kudai demokrasia ya kweli wakiwa na njaa. https://t.co/UWwleS0fUiView attachment 2131671
Subiria return ya hii michango Mwezi wa nne utaelewa tuKudai demokrasia kunahitaji pesa? Hii kali
Point tupuMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Njombe Rose Mayemba,baada ya kuzinduliwa mpango mahususi wa kuchangia Chama (Join the chain) ametoa wito kwa wanachama kuendelea kutoa michango kwa kuwa haiwezekani kudai demokrasia ya kweli wakiwa na njaa. https://t.co/UWwleS0fUiView attachment 2131671
Yupo sahihi snTusisahau njaa inaathiri uwezo wa kufikiri na kutafakari.
Ukiwa na njaa unatumiwa na wenye shibe.
SureUkweli gani wewe unataka Watanzania waukubali? CCM inaendesha shughuli zake kwa hela ya Serikali ikiwapo ruzuku na rasilimali nyingine za Serikali wakati Chadema haichukui hata senti moja ya ruzuku sasa wanachadema wa hiari yao kuchangia chama chao tatizo nini? Wache upumbavu wenu wa kimalaya
Nakumbuka Takukuru walifanyia kazi kwani Mbowe hakupatikana na tuhuma kwa hiyo siyo ya kusakidika MkuMbowe alilamba billioni 8 za michango ya wabunge
Kwani tume ya Mzee Warioba ilitumia kiasi gani kwani hao Chadema wataenda mikoani bila usafiri MkuKudai demokrasia kunahitaji pesa? Hii kali
njaa kali mbona sijaliona ?Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Njombe Rose Mayemba,baada ya kuzinduliwa mpango mahususi wa kuchangia Chama (Join the chain) ametoa wito kwa wanachama kuendelea kutoa michango kwa kuwa haiwezekani kudai demokrasia ya kweli wakiwa na njaa. https://t.co/UWwleS0fUiView attachment 2131671
Kama hata kueneza neno tu tunachanga,Kudai demokrasia kunahitaji pesa? Hii kali
Unapata taabu sana Mungu alimtandika shetani....Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Njombe Rose Mayemba,baada ya kuzinduliwa mpango mahususi wa kuchangia Chama (Join the chain) ametoa wito kwa wanachama kuendelea kutoa michango kwa kuwa haiwezekani kudai demokrasia ya kweli wakiwa na njaa. https://t.co/UWwleS0fUiView attachment 2131671
Hizo alinunulia nyumba Dubai na zingine amezitumia kusomeshea watoto wake. Kila kuku hula kwa upana wa kimywa chake.Mbowe alilamba billioni 8 za michango ya wabunge
Duh.... Kila kuku hula kwa upana wa kimywa chake.
Unawashwa kinyeo eh??Sawa nini we kibwengo?