Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnyika anajilia zake ruzuku za kina Mdee kimya kimya!
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani kudai demokrasia unakaa nyuma ya keyboard na kuandika tuu?Kudai demokrasia kunahitaji pesa? Hii kali
Kwa hiyo unataka Hela za kuhonga Watoa demokrasia ili watoe demokrasia au?Unadhani kudai demokrasia unakaa nyuma ya keyboard na kuandika tuu?
Hivi nyie mnatumia kiungo gani cha mwili kufikiri?
Isijekuwa huu uchafu wenu wa mawazo unatokea kule kutokeako pia uchafu wa vyakula
Wanajitahidi sn kumchafua Mbowe lakini kila kona wanakwamaNakumbuka Takukuru walifanyia kazi kwani Mbowe hakupatikana na tuhuma kwa hiyo siyo ya kusakidika Mku
Hata hueleweki upuuzi unaoandika. Unajua kazi ya ruzuku kwa chama? Ndio huo ujenzi wa demokrasia kwa kukabili gharama za safari, machapisho, mikutano na makongamano nk.Kwa hiyo unataka Hela za kuhonga Watoa demokrasia au?
Chawa anahangaika kusoma?Sawa kama ilivyo KWA watanzania wote tuna njaa chadema. Nao ni watz ,
Dogo ulibahatika kusoma hesabu za logic??
Usitegemee Chawa kuwa na uelewaKwani tume ya Mzee Warioba ilitumia kiasi gani kwani hao Chadema wataenda mikoani bila usafiri Mku
Leta ushahidi.Mbowe alilamba billioni 8 za michango ya wabunge
Ni kweli kabisa na mfano mzuri ni wewe mwanaume ila unajiita mama d.
Chama tawala 2025 kinatisha kwa kutembeza mabakuli.Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Njombe Rose Mayemba,baada ya kuzinduliwa mpango mahususi wa kuchangia Chama (Join the chain) ametoa wito kwa wanachama kuendelea kutoa michango kwa kuwa haiwezekani kudai demokrasia ya kweli wakiwa na njaa. https://t.co/UWwleS0fUiView attachment 2131671
Wewe kiboko yako ni Putin[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnyika anajilia zake ruzuku za kina Mdee kimya kimya!
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Sounds like Mnyika is not a good guy.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnyika anajilia zake ruzuku za kina Mdee kimya kimya!
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Labda hii michango itasalimika kwa kuwa jamaa yuko lupangoMbowe alilamba billioni 8 za michango ya wabunge
Kesi za kuwabambikia mnazowapa zinahitaji mawakili na usafiri na mahitaji mengineKudai demokrasia kunahitaji pesa? Hii kali
Shetani akikuchukia, watakiwa kushangilia kwani unamkwaza.Sounds like Mnyika is not a good guy.