Rose Mhando huwa namkuta kituo cha Mwanamboka Kinondoni

Wewe ndio huwajui watu alafu nakusikitikia sana..sababu hao unaowazushia wana uwezo wa kukufunga.
Wewe ni bora ukae kimya tu, sababu hao kina Lwakatare huwajui!


Mbona povu kwa kuambiwa ukweli au wewe ndio unawapa dili?
 
Hivi Huyu msani wa miziki ya injili kwa sasa Yuko chini ya usimamizi wa nani!
Namkutaga kwenye kituo cha mwendokasi nyuma ya mwanamboka aise naona kama anapoteaaa......kama yule kiuno bila mfupaaaa style.....

OVA
Kwa muda mrefu kuns rumars kwamba Rose Muhando teja!!!!sijui kk makonda hajaskua uvumi huu
 
Tatizo sina muda wa kufuatilia maisha ya watu...niko busy na maisha yangu na kusaka hela...
basi usijifanye sana kuzijua familia za watu...funga bakuli lako
 
Kwa muda mrefu kuns rumars kwamba Rose Muhando teja!!!!sijui kk makonda hajaskua uvumi huu
Nliandika post moja kuhusu issue hyo wacha nishambuliwe

Ova
 
Yule hana tofaut na nandi..mziki biashara
 
Pole yake
hivi makanisa ya walokole hili la unga halizungumzwi?

manake unasikia mtu mlokole
mara tena unasikia kawa teja
mara sijui anatumia viroba

huko makanisani kuna nini?
ndio maana binafsi huwa naamini MUNGU na SHETANI ni maswahiba zaidi ya tunavyopotoshwa...
 
Hivi Huyu msani wa miziki ya injili kwa sasa Yuko chini ya usimamizi wa nani!
Namkutaga kwenye kituo cha mwendokasi nyuma ya mwanamboka aise naona kama anapoteaaa......kama yule kiuno bila mfupaaaa style.....

OVA
We huwa unaenda kuyfanya nini?
 
Yaah naskia Mwanamboka anapenda sana wakati huo Lowassa ametangaza nia si ndo akaenda chadema kwa Mwamunyange kumuona kamanda Siro thubutu Makonda akapiga marufuku kuja dar,trump akashinda uchaguzi ndo Faru john akafa.
Nimesoma comment nyingi humu jf ila sijawahi kukutana na comment Tata Kama hii hat off to you sir
 
Asante bwana Mkubwa bingwa wa kujua watu Mjini! Ngoja niendelee kufunga hesabu hapa ofisini.
Tulisema tangia 2016 leo ndy watu wanashtuka......wengine sisi misele mingi tunakutana na mambo mengi [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Tulisema tangia 2016 leo ndy watu wanashtuka......wengine sisi misele mingi tunakutana na mambo mengi [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
Heshima kwako mkuu naona kuna watu walikupinga sana humu ndani!
 
Hahaha, unakuta MTU anayebisha anaishi huko Chato hata Dar haijui
Ndomana siku hzi tumeamua kusugua hatuleti habari wala kushusha nondo
Maana isije ikawa balaaa
Unaweza leta kitu positive badaye ikakugeukia ikawa negative [emoji23]

Ova
 
Hili jina nikilisikia au kuliona huwa nahisi hasira sana, sipendi mtu anayeleta mzaha na dini za watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…