Rose Mhando: Meneja wangu anataka kuniua

Imekuwa hivi kweli? Angemtegemea Mungu KWELI asingeaibika kamwe no matter mazingira anayoishi yakoje.
 
Mimi natakujua baada ya hilo Igizo la Futuhi Rose alilipwa shilingi ngapi...?
 
usanii tu hapa ilipangwa dili ili kulitangaza hilo kanisa
 
Huyu SI Rose Muhando.
Amepata mapepo alifanya abomination akahamia kwenye uislamu akalitukana jina la Bwana wa Majeshi. Leo amepigwa majini 10. Sisi hatuwezi kitu ni Mungu tu wa kumponya

 
Nimeona hii kitu kwenye twitter account ya mtu. Nimefuatilia thread haina majibu. Jamani inatia huruma. Wenye habari please help ili tuju, tujifunze au tusaidie.
Asanteni kwa mrejesho

Attention pls!! Huo ni Uzushi. Hiyo SIO Rose Muhando.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…