Rose Mhando: Meneja wangu anataka kuniua

Rose Mhando: Meneja wangu anataka kuniua

Mental insanity at it's highest peak!
Back in her greenish days, rafiki yangu aliwahi kunitonya kuwa huyo bibie anatumia marijuana kuwezesha zoezi na show.
 
Mental insanity at it's highest peak!
Back in her greenish days, rafiki yangu aliwahi kunitonya kuwa huyo bibie anatumia marijuana kuwezesha zoezi na show.

Madawa yamemharibu mama wa watu jamani
Masikini watoto wake uwiii
Ehhh Mola wangu ehhh walahi
 
Why walahi
Ili iweje walahi
Utapata faida gani walahi
Tafuta mamdoly au sabuni walahi
Hahaha. Ikija kwenye walahi, mimi bingwa. Maulana alinibariki na mkono wa tatu mkubwa na kisha akanipa ujuzi wa kuutumia. Kila ke ninayewalahi naye lazima arudi kutafuta round two.
 
Hii ni zaidi ya picha kihindi
Rose mrudie Mungu wako
Umejiloga mwenyewe
Hiyo mIkono vipi?
Afya mgogoro Rose ni nini lakini mamii!!?
Hapa mpaka rehema na neema kutoka kwa Mwenye Enzi Mungu walahi
Hivi hivi hachomoki walahi
 
Hahaha. Ikija kwenye walahi, mimi bingwa. Maulana alinibariki na mkono wa tatu mkubwa na kisha akanipa ujuzi wa kuutumia. Kila ke ninayewalahi naye lazima arudi kutafuta round two.

Mbona umenikalia kama shoga walahi
Maana mwanamme kamili hawezi kuongea pumba kwenye uzi kama huu walahi
Mimi naona wewe ni shoga wa kubobea walahi crazy psychopath walahi
Ignore list yangu inakuhusu walahi
Bye shoga la Mombasa walahi
 
acha apambane na hali yake.... btw nimegundua kila msanii mtz anapoona mziki unaanza kumshinda anakimbilia kenya. Mister Nice anaendeleaje na maisha huko kenya?
Kama bongo ni La Liga kimuziki basi Kenya ni segunda division
 
Mbona umenikalia kama shoga walahi
Maana mwanamme kamili hawezi kuongea pumba kwenye uzi kama huu walahi
Mimi naona wewe ni shoga wa kubobea walahi crazy psychopath walahi
Ignore list yangu inakuhusu walahi
Bye shoga la Mombasa walahi
Sasa wewe huna kitu inaitwa "sense of humour" kwa kiingereza. Yaani utani kidogo tu imekufanya ukaja juu kwa mitusi.
 
Hakika Rose alishambuliwa na mapepo.
Huko sio kuigiza ni halisi.
Wachungaji hawapaswi kumtelekeza Rose.
Ilifaa wamsaidie hata kama aliwakwaza.
Naye alikosa unyeyekevu kwa Mungu wake kipindi fulani ambacho ndicho kilitumika kumshambulia.
Pole sana Rose Mhando, kumbuka unapoamua kumtegemea Kristo usijisahau kujinyeyekesha kwake kila wakati.
 
Kwa ufupi ni kwamba Rose Mhando hajawahi kuokoka, alichojaaliwa na Mungu ni kile kipaji chake cha uimbaji.

Kutokana na kukua kwa jina lake huku akiwa hana msingi wala mafundisho ya Wokovu, kupotea zaidi ilikua ni jambo lisilokwepeka.

Ilisemekana tokea kitambo kwamba ni teja!

Ni kweli ana matatizo na anahitaji msaada mkubwa lakini kwa bahati mbaya huyo anayeonekana akimuombea na yeye pia anahitaji maombi kwani ni mmojawapo wa wale FAKE PASTORS
 
Kwa ufupi ni kwamba Rose Mhando hajawahi kuokoka, alichojaaliwa na Mungu ni kile kipaji chake cha uimbaji.

Kutokana na kukua kwa jina lake huku akiwa hana msingi wala mafundisho ya Wokovu, kupotea zaidi ilikua ni jambo lisilokwepeka.

Ilisemekana tokea kitambo kwamba ni teja!

Ni kweli ana matatizo na anahitaji msaada mkubwa lakini kwa bahati mbaya huyo anayeonekana akimuombea na yeye pia anahitaji maombi kwani ni mmojawapo wa wale FAKE PASTORS
Kwanza alikuwa Muislam safi kabla ya kuanza kuimba nyimbo za injili. Amekuwa akitishia kurudi kwenye imani yake.
Nadha yupo njia panda. Si sukari si chumvi. Afanye uamuzi. Mungu ni mmoja.
 
Nimeona video inayozunguka mitandaoni ikimuonyesha mtu anayefanana na Rose Mhando akiombewa baada ya kukumbwa na mapepo , je ni yeye kweli ?
mkuu kwan kushikwa na pepo ni jambo la ajabu?
 
Hilo pepo lina huruma kweli..
Baada ya kuanguka bado akawa na akili ya kujisitiri asibaki uchi hadi alipoletewa kanga!!!
Kabla ya hapo anaonekana akishusha sketi yake vizuri...
Manabii wa ......
weka video tuone wote mkuu
 
Amepata mapepo alifanya abomination akahamia kwenye uislamu akalitukana jina la Bwana wa Majeshi. Leo amepigwa majini 10. Sisi hatuwezi kitu ni Mungu tu wa kumponya



Nilisikia pia kuwa anataka kwenda uislam sijui aliishia wapi!!

Nimecheka kilewo anasema pepo limemuingia baada ya kuwa upande wa CCM 🤣🤣🤣
 
Nimeona hii kitu kwenye twitter account ya mtu. Nimefuatilia thread haina majibu. Jamani inatia huruma. Wenye habari please help ili tuju, tujifunze au tusaidie.
Asanteni kwa mrejesho

Njaa mbaya sana hakuna cha mapepo maigizo hayo. Ila walokole wanaiga mfumo wa Waganga wa kienyeji hafu Wanawaponda kuwa wao wanamashetani
 
Back
Top Bottom