Rose Muhando amelazwa hospitalini nchini Kenya, katika chumba cha uangalizi maalum ‘ICU’

Ombi langu mh Rais tunaomba msaidie mwimbaji wa injili aweze kurudia hali yake msaidie kwa matibabu tunaambiwa hali yake hairidhishi

Dada rose ameitangaza sana hii nchi anastahili msaada wako mh Rais naamini kwa moyo wako wa upendo utamsaidia
 
Mungu amponye kwakweli huyu anahitaji counseling na rehab ya hayo madawa ya kulevya
 
Wachungaji wa siku hizi wanajua kuombea mapepo tu.. Sio magonjwa.
Hivi wajua hata kifo ni kupona pia? Ndo maana tunasema R,I,P usiwalete wachungaji humu kwenye madawa ya kulevya. Unataka kuniambia kuwa utaenda kunywa sumu kwa sababu upo karibu na kanisa ili uje kuombewa? Waza kabla hujaandika
 
Wachungaji wa siku hizi wanajua kuombea mapepo tu.. Sio magonjwa.
Unajua pepo likishakuingia huwa linacheza na akili yako tu huwenda lilikuwa linamzuia kwnda rehabu mapema kwahiyo kuombewa sio ndio kupona ni hatua ya kwanza ya kupona
 
Mungu akuponye dada Rose

Such a good woman, moyo wa upendo, moyo wa kujali wengine kuliko hata kujijali wewe
Muda wote unatabasamu kumbe ulikuwa unawachekea mashtwani yaliyotaka kukuangamiza

Feel so disapointed
Ndiyo ajue kuwa 'Ngada'si glucose!
 
Hivi ule mkataba na Sony uliisha wadau?Maana ndipo alipoanza kujichanganya
Yeah ni kweli hapo ndo alipoanza kuiimbia Album(hela) lakini Bado Mungu ni mwaminifu atamsadia Rose
 
Dr. Mwakiembe na kampeni ya kutetea maslahi ya wasanii Kanumba, Majuto and the like imefia wp?
 
uuutamaduni wa kibongo ni kuwa awakuchangiii ukiwa hai,ukiwa mgonjwa watatamani wakuongezeee mzigo mwingine wa ugonjwa,mgonjwa akifa watabuni project ya kupiga pesa kama tshet na makofia huku wakiweka ringtone ya wimbo wa WIZ KHALIFA WA SEE YOU AGAIN,kwa uhalisia rose ajiombeee tu mwenyew asiwategeemeee hawa wanafiki
 
So where's Jesus Christ to save her now?
 
aaaah
 
Ombi langu mh Rais tunaomba msaidie mwimbaji wa injili aweze kurudia hali yake msaidie kwa matibabu tunaambiwa hali yake hairidhishi

Dada rose ameitangaza sana hii nchi anastahili msaada wako mh Rais naamini kwa moyo wako wa upendo utamsaidia
aaaah mbona uongo jamaani
 
Amkubali Yesu Kristo kikamilifu, aachane na ustaa.

Wamemtumia sasa wamemuacha ili ateseke.

We love you Rozi but Jesus Christ anakuhitaji mno.

Mungu akuponye dada yangu.
Kiaje? Mumwambiw Msami ndio amkubali Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…