Rose Muhando amelazwa hospitalini nchini Kenya, katika chumba cha uangalizi maalum ‘ICU’

Mbona nimeona ametoa wimbo mpya akiwa na maplasta mikononi? Sema sijausikiliza
 
hii source ni ya moja ya gazeti la global publishers?
 

Kwasasa yupo strong ila kweli mikono kama imeungua flani hivi ila ipo active.
 
Drug abuse inawezaje kufanya mikono ipate matatizo Mr King Kong LA familia?

La Familiaaaa ILALA ILALA Mikono Mfululu yaani Pa papa papaaa wamekaaaaa!!! Atakuwa alikuwa na shida nyingine na wala sio Unga!!! Sauti yake ni strong ambayo inaonyesha haijawahi kupitisha VILEVI vya aina yeyote!!
 
Nilimuona juzi anaimba ila anatumia nguvu kubwa
 
La Familiaaaa ILALA ILALA Mikono Mfululu yaani Pa papa papaaa wamekaaaaa!!! Atakuwa alikuwa na shida nyingine na wala sio Unga!!! Sauti yake ni strong ambayo inaonyesha haijawahi kupitisha VILEVI vya aina yeyote!!
Chidi benzi sauti yake dhaifu?

Whitney Houston?

Amy Winehouse?

Na walikua hawajapitisha vilevi vya aina yeyote?
 
Chidi benzi sauti yake dhaifu?

Whitney Houston?

Amy Winehouse?

Na walikua hawajapitisha vilevi vya aina yeyote?
Huyu ana ugonjwa wake wa siku zote anausema kwa kila mtu. Akiongeza comment lazima autaje
 
Chidi benzi sauti yake dhaifu?

Whitney Houston?

Amy Winehouse?

Na walikua hawajapitisha vilevi vya aina yeyote?

Inafikirisha Mkuu ila Rose Muhando ana energy ya kutosha ila kama alikuwa anatumia basi ilikuwa taa haijamuwakia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…