The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Kama kuna mtu yeyote anayeingia kwenye dini fulani ili kutaka kupata upendo toka kwa binadamu basi mtu huyo anaweza kuhana dini zote na asipate anachokitaka!
Mtumikie Mungu ili upate upendo toka kwake coz yeye ndiye mmiliki wa hii dunia na ndiye atakayetoa hukumu siku ya malipo,
Huwezi kupendwa na watu wote au kuchukiwa na watu wote,huwezi kumridhisha binadamu hata ufanye lipi! Mtumikie Mungu pekee ili upate malipo toka kwake.
Mtumikie Mungu ili upate upendo toka kwake coz yeye ndiye mmiliki wa hii dunia na ndiye atakayetoa hukumu siku ya malipo,
Huwezi kupendwa na watu wote au kuchukiwa na watu wote,huwezi kumridhisha binadamu hata ufanye lipi! Mtumikie Mungu pekee ili upate malipo toka kwake.