Mkuu hata mimi nilipata shida kama wewe...Samahani wakuu, huyo dogo alikuwa na title gani? Simfahamu so naweza pata hata dondoo kidogo kwa maana naona kero ktk groups za whatsapp huko...
Mbona Casto yuko kimya kaka wa watu hajasema chochote waliokua wanaumana ni wao wenyewe mtoa mbegu kakaa kimyaaAna bahati nzuri sana huyu Muna lasivyo huyo mtoto angezikwa mwezi ujao maana baba wa mtoto asingekubali ujinga huo....wa kutapeliwa...
Bora amechukua ushauri wa DEMBA
Sijui huyo Casto ana jisikia Vipi huko daaaa
Da'Mange kaumbuka tena mchana kweupee. Duh, eti oh mimi huwaga sikosei nasema Casto ni baba wa Patrick sijui nini. Sasa mama kasema baba wa marehemu ni nani.View attachment 803207
Kwa ufupi
Jana Julai 4, 2018 Muna kupitia ukusara wa mtandao wa kijamii wa Instagram liandika baba wa mtoto ni Casto Dickson...
Aseme nini labda..!?Mbona Casto yuko kimya kaka wa watu hajasema chochote waliokua wanaumana ni wao wenyewe mtoa mbegu kakaa kimyaa
Na ndo maana yuko kimya nimemjibu rutaAseme nini labda..!?
Ana sauti ipi kwa marehemu!!?
Hiyo peter ilivyoandikwa steve ni majangaKumbe familia ndo imemsihi daah mzee wa fursa keshatudanganya kuwa yeye ndo kambembeleza muna akubali misiba uwe kwa bwana Peter
View attachment 803208
Hiyo peter ilivyoandikwa steve ni majanga
casto akae kimya tu.... this too shall pass!!Ana bahati nzuri sana huyu Muna lasivyo huyo mtoto angezikwa mwezi ujao maana baba wa mtoto asingekubali ujinga huo....wa kutapeliwa...
Bora amechukua ushauri wa DEMBA
Sijui huyo Casto ana jisikia Vipi huko daaaa
Unalogwa...
hili jitu halijui hata kuandika
Sio kuzaa nao mkuu, akiachia wee tia mimba tuu ila usioeDrama mpaka misibani aisee..wanaume tuepuke kuzaa na wanawake waigizaji, tutapata tabu
Shetani anasingiziwa mengi! Kwanza kulingana na ratiba aliyonayo Mshana Jr shetani hakuwa maeneo ya Nairobi wiki hii. Sasa alimpitia saa ngapi?Huu msemo shetani alinipitia ni wa kibwege sn
Ata ukizaa nao usioe bado ni tabu tu, si ndio yanaendelea kwa huyu mwanamke muigizaji mara leo mtoto wa fulani mara kesho mtoto wa fulana. drama everydaySio kuzaa nao mkuu, akiachia wee tia mimba tuu ila usioe
Tuanze kuwadhibiti wao sasa, kwani mafundi hatuwajuhi? Wewe jiulize mtu hana hela na ana wake wawili wazuri kabisa na anawamega peke yake.Unalogwa...
Na akili zako unakuwa zezeta.
Si watu hawa...wakiamua.