Rose Nungu (Munalove), akubali kupeleka msiba nyumbani kwa baba wa Patrick

Rose Nungu (Munalove), akubali kupeleka msiba nyumbani kwa baba wa Patrick

Aiseee hivi umefiwa Na mwanao unapata wapi nguvu ya kupost insta Na kusoma comments!
wanawake wa Siku hizi ......
Maisha ya ki digital hayo hata kulia watu wanalia kwa hatua
 
Kwahyo huyo chalii ana madingi wangap

Afu huyo dada hajielewi completely....nadhan huyo peter sa iv atakua anajiuliza alimuoaje??
 
Huna lolote. Unapingana na mama wa marehemu? Duh, kaazi kweli kweli.
Sio Mimi mama wa marehemu alishasema Mtoto wa nani[emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] labda km una chuki na mange kwa heriii...na wengine muna,mwanawe,mumewe na Casto ndo mmewajua Leo...
 
Sasa kasema sio. Hebu acha kufosi mambo na kujifanya unajua zaidi yake. Utapata tabu sana.
Maji yakimwagika hayazoleki[emoji2] [emoji2] [emoji2] unapata tabu sana wewe uliye na chuki na mange humjui,hakujui halafu ukute mtoto wa kiume[emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2]

Mna shida wanaume wa siku wambea kama Dada zenu[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Maji yakimwagika hayazoleki[emoji2] [emoji2] [emoji2] unapata tabu sana wewe uliye na chuki na mange humjui,hakujui halafu ukute mtoto wa kiume[emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2]

Mna shida wanaume wa siku wambea kama Dada zenu[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Wewe unanijua. Hizo chuki kwa da'Mange zitoke wapi. Nimchukie huyo kibwengo kwa lipi?
 
Wewe unanijua. Hizo chuki kwa da'Mange zitoke wapi. Nimchukie huyo kibwengo kwa lipi?
Utajua mwenyewe[emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji4] [emoji4] [emoji5]
 
Aiseee hivi umefiwa Na mwanao unapata wapi nguvu ya kupost insta Na kusoma comments!
wanawake wa Siku hizi ......
inashangaza kwa kweli ....hawa viumbe wamesifiw kukimbia ...now wamepitiliza mpaka kwao ""...
 
Ata ukizaa nao usioe bado ni tabu tu, si ndio yanaendelea kwa huyu mwanamke muigizaji mara leo mtoto wa fulani mara kesho mtoto wa fulana. drama everyday
Hawa kama wana laana..Sugu naye anapata shida na mzazi mwenzie..Faiza..kashindwa kuchukua mtoto wake..bongo movie ni pasua kichwa

FAIZA ALIWAHI SEMA kuwa anaogopa mtoto kukaa na sugu kuwa atamlawiti

Vichwa vya hawa bongo movie walio fulia ni pasua kichwa maana mtoto anageuzwa kama asset kwa baba mzazi
 
Ndo maana uwoya japo anajua Krish sio wa ndiku kaamua kumbabatiza hivyo hvyo kakomaa na ndiku
 
Back
Top Bottom