Rose Nungu (Munalove), akubali kupeleka msiba nyumbani kwa baba wa Patrick

Rose Nungu (Munalove), akubali kupeleka msiba nyumbani kwa baba wa Patrick

Hawa kama wana laana..Sugu naye anapata shida na mzazi mwenzie..Faiza..kashindwa kuchukua mtoto wake..bongo movie ni pasua kichwa

FAIZA ALIWAHI SEMA kuwa anaogopa mtoto kukaa na sugu kuwa atamlawiti

Vichwa vya hawa bongo movie walio fulia ni pasua kichwa maana mtoto anageuzwa kama asset kwa baba mzazi
hahahahahaha
 
Uyo dada muongo sana uyo shetani nipo nae mimi wiki nzima
 
Huyo Casto SI MTOA mbegu bali alikuwa ana saidia tuuu kama angelikuwa mtoa mbengu basi pasingelikalika na pia angekuwa anatoa huduma..
Mwenye mtoto ameshajulikana.....
Sasa Casto ulitaka afanyeje labda na ili iweje!wakati yule mtu alikua kaolewa...

Baba mlezi ameshajulikana tayari,tena na michango atapata maana nimeona na namba za simu tatu wametoa[emoji2] [emoji2] Wenye shida na mtoto wanagombea!

Alikua analazimisha kulea mtoto sio wake [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] !!acha amzike tu hakuna namnaa!
 
Kila msiba wa msanii Steve nyerere yupo!! Huyu jamaa noma

Fursa!
Halafu siku shetani akiibuka huko alipo sijui itakuwaje siku hiyi, eti shetani alikupitia, shetani akusahaulishe baba wa mtoto, yerewiii
 
Kaka uko mjini hapa hapa au...[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] pole sana!!!uliza watoto wa mjini!sema Irene kaamua kukomaa na huyo huyo!

Mtafute dude wa bongo daslam atakuambia baba wa mtoto
Aise kazi ipo
 
Hivi yeye mwenyewe huyu huwa ana shughuli gani rasmi hapa duniani ukiondoa hii ya MSEMAJI WA FAMILIA zisizomhusu?
Zamani nilikuwa namchukulia powa huyu mtu lakini sivyo alivyo nilikuwa najidanganya mwenyewe.

Kuna watu duniani wamezaliwa na vipaji maalum hata ukitaka kukutana na Rais wapo watu wapo nje ya serikali wanaweza kukufanyia booking na Rais lakini mtumishi wa ikulu akashindwa.

Huyu Steve baada ya mimi mwenyewe binafsi kutokana na shughuli zangu nimeweza kumjuwa japo kidogo, ilikuwa lazima tuonane na kuzungumza.

Huyu Steve tangu enzi za JK ana access na wakuu wa nchi na kwa sasa ana direct access kwa makamu wa Rais.

Huyu Steve licha ya kwamba gari si mafanikio lakini anatembelea Toyota Prado Tx ya kisasa kabisa na ana dereva.

Huyu huyu Steve kuna mibaba mizima tena walikuwa masustaa wakweli yeye ndio mwenyekiti wao kwenye Uzalendo kwanza, hili ni kundi la watu maarufu kupiga pesa za serikali inayopenda kusifiwa.
Usisahau kwenye hilo kundi wapo Mohammed Hussein Mmachinga, Steven Nemes, Mtwa Kiwelu, Chama Jogoo, Makumbi Juma, Madaraka Suleiman na wengine wengi waliowika kwenye soka la bongo na wasanii wa Bongo Movie lakini ujuwe mwenyekiti wao na founder wa hilo group ni Steve Nyerere.

Kama nia yako tu ni kumjuwa mtu huyu nadhani utakuwa umekiona kitu ndani ya mtu huyu, na nimemshuhudia kwa macho hawa mastaa wote anawamudu na anawagombeza wakizinguwa.

Ningekuwa na mamlaka pale UDSM ningempa degree ya heshima huyu dogo.

Kwenye harusi ndio usiseme kuna harusi moja ya kitajili itafanyika hivi karibuni nimealikwa kikao cha maandalizi mwenyekiti Jack Ghotham, makamu ni huyuhuyu Steve, na bwana harusi ni wale watu wenye shilling yao hapa mjini.

Kwa uchache huyo ndio Steve, ukisikia mtaani kwenu watu wanamsema fulani magari yake ni ya kuazima waambie na wao wakaazime basi kama wataaminiwa kupewa.
 
Aiseee hivi umefiwa Na mwanao unapata wapi nguvu ya kupost insta Na kusoma comments!
wanawake wa Siku hizi ......
huyo si mwanamke,ni shetani!!shetani hasaa..
miaka ya nyuma alikuwa akionekana sana huku magomeni achana na huyo,na kama kweli kaokoka!!MUNGU amsamehe tu..
 
Zamani nilikuwa namchukulia powa huyu mtu lakini sivyo alivyo nilikuwa najidanganya mwenyewe.

Kuna watu duniani wamezaliwa na vipaji maalum hata ukitaka kukutana na Rais wapo watu wapo nje ya serikali wanaweza kukufanyia booking na Rais lakini mtumishi wa ikulu akashindwa.

Huyu Steve baada ya mimi mwenyewe binafsi kutokana na shughuli zangu nimeweza kumjuwa japo kidogo, ilikuwa lazima tuonane na kuzungumza.

Huyu Steve tangu enzi za JK ana access na wakuu wa nchi na kwa sasa ana direct access kwa makamu wa Rais.

Huyu Steve licha ya kwamba gari si mafanikio lakini anatembelea Toyota Prado Tx ya kisasa kabisa na ana dereva.

Huyu huyu Steve kuna mibaba mizima tena walikuwa masustaa wakweli yeye ndio mwenyekiti wao kwenye Uzalendo kwanza, hili ni kundi la watu maarufu kupiga pesa za serikali inayopenda kusifiwa.
Usisahau kwenye hilo kundi wapo Mohammed Hussein Mmachinga, Steven Nemes, Mtwa Kiwelu, Chama Jogoo, Makumbi Juma, Madaraka Suleiman na wengine wengi waliowika kwenye soka la bongo na wasanii wa Bongo Movie lakini ujuwe mwenyekiti wao na founder wa hilo group ni Steve Nyerere.

Kama nia yako tu ni kumjuwa mtu huyu nadhani utakuwa umekiona kitu ndani ya mtu huyu, na nimemshuhudia kwa macho hawa mastaa wote anawamudu na anawagombeza wakizinguwa.

Ningekuwa na mamlaka pale UDSM ningempa degree ya heshima huyu dogo.

Kwenye harusi ndio usiseme kuna harusi moja ya kitajili itafanyika hivi karibuni nimealikwa kikao cha maandalizi mwenyekiti Jack Ghotham, makamu ni huyuhuyu Steve, na bwana harusi ni wale watu wenye shilling yao hapa mjini.

Kwa uchache huyo ndio Steve, ukisikia mtaani kwenu watu wanamsema fulani magari yake ni ya kuazima waambie na wao wakaazime basi kama wataaminiwa kupewa.
Aisee..
 
Aliyeturoga anafurahi huko aliko.......trending story ni kufariki kwa mtoto wa Muna na baba halisi wa mtoto wala hakuna anayejali kupanda kwa bei ya mafuta.
Ndio watanzania hao a.k.a wabongo
 
Zamani nilikuwa namchukulia powa huyu mtu lakini sivyo alivyo nilikuwa najidanganya mwenyewe.

Kuna watu duniani wamezaliwa na vipaji maalum hata ukitaka kukutana na Rais wapo watu wapo nje ya serikali wanaweza kukufanyia booking na Rais lakini mtumishi wa ikulu akashindwa.

Huyu Steve baada ya mimi mwenyewe binafsi kutokana na shughuli zangu nimeweza kumjuwa japo kidogo, ilikuwa lazima tuonane na kuzungumza.

Huyu Steve tangu enzi za JK ana access na wakuu wa nchi na kwa sasa ana direct access kwa makamu wa Rais.

Huyu Steve licha ya kwamba gari si mafanikio lakini anatembelea Toyota Prado Tx ya kisasa kabisa na ana dereva.

Huyu huyu Steve kuna mibaba mizima tena walikuwa masustaa wakweli yeye ndio mwenyekiti wao kwenye Uzalendo kwanza, hili ni kundi la watu maarufu kupiga pesa za serikali inayopenda kusifiwa.
Usisahau kwenye hilo kundi wapo Mohammed Hussein Mmachinga, Steven Nemes, Mtwa Kiwelu, Chama Jogoo, Makumbi Juma, Madaraka Suleiman na wengine wengi waliowika kwenye soka la bongo na wasanii wa Bongo Movie lakini ujuwe mwenyekiti wao na founder wa hilo group ni Steve Nyerere.

Kama nia yako tu ni kumjuwa mtu huyu nadhani utakuwa umekiona kitu ndani ya mtu huyu, na nimemshuhudia kwa macho hawa mastaa wote anawamudu na anawagombeza wakizinguwa.

Ningekuwa na mamlaka pale UDSM ningempa degree ya heshima huyu dogo.

Kwenye harusi ndio usiseme kuna harusi moja ya kitajili itafanyika hivi karibuni nimealikwa kikao cha maandalizi mwenyekiti Jack Ghotham, makamu ni huyuhuyu Steve, na bwana harusi ni wale watu wenye shilling yao hapa mjini.

Kwa uchache huyo ndio Steve, ukisikia mtaani kwenu watu wanamsema fulani magari yake ni ya kuazima waambie na wao wakaazime basi kama wataaminiwa kupewa.
Mkuu ni kweli kbs ,Steve ana nguvu ya ushawishi ,binafsi namuheshimu huyu jamaa ,yote usemayo ni kweli tupu
 
Zamani nilikuwa namchukulia powa huyu mtu lakini sivyo alivyo nilikuwa najidanganya mwenyewe.

Kuna watu duniani wamezaliwa na vipaji maalum hata ukitaka kukutana na Rais wapo watu wapo nje ya serikali wanaweza kukufanyia booking na Rais lakini mtumishi wa ikulu akashindwa.

Huyu Steve baada ya mimi mwenyewe binafsi kutokana na shughuli zangu nimeweza kumjuwa japo kidogo, ilikuwa lazima tuonane na kuzungumza.

Huyu Steve tangu enzi za JK ana access na wakuu wa nchi na kwa sasa ana direct access kwa makamu wa Rais.

Huyu Steve licha ya kwamba gari si mafanikio lakini anatembelea Toyota Prado Tx ya kisasa kabisa na ana dereva.

Huyu huyu Steve kuna mibaba mizima tena walikuwa masustaa wakweli yeye ndio mwenyekiti wao kwenye Uzalendo kwanza, hili ni kundi la watu maarufu kupiga pesa za serikali inayopenda kusifiwa.
Usisahau kwenye hilo kundi wapo Mohammed Hussein Mmachinga, Steven Nemes, Mtwa Kiwelu, Chama Jogoo, Makumbi Juma, Madaraka Suleiman na wengine wengi waliowika kwenye soka la bongo na wasanii wa Bongo Movie lakini ujuwe mwenyekiti wao na founder wa hilo group ni Steve Nyerere.

Kama nia yako tu ni kumjuwa mtu huyu nadhani utakuwa umekiona kitu ndani ya mtu huyu, na nimemshuhudia kwa macho hawa mastaa wote anawamudu na anawagombeza wakizinguwa.

Ningekuwa na mamlaka pale UDSM ningempa degree ya heshima huyu dogo.

Kwenye harusi ndio usiseme kuna harusi moja ya kitajili itafanyika hivi karibuni nimealikwa kikao cha maandalizi mwenyekiti Jack Ghotham, makamu ni huyuhuyu Steve, na bwana harusi ni wale watu wenye shilling yao hapa mjini.

Kwa uchache huyo ndio Steve, ukisikia mtaani kwenu watu wanamsema fulani magari yake ni ya kuazima waambie na wao wakaazime basi kama wataaminiwa kupewa.
Mkuu ni kweli usemayo,asiye mjua Steve atamuona mizinguo lkn jamaa ana nguvu ya ushawishi mno ,binafsi nishakaa nae sana ktk vikao vyake kipindi anashinda pale contena kwa rasta ,jamaa karibu watu wazito wote wanamsikiliza yeye

Na Steve roho mbaya hana kbs ,namheshimu huyu MTU sana tu
 
Back
Top Bottom