Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hujui kituRose Alphonce Nungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui kituRose Alphonce Nungu
Mlikuwa mnawasakama Wakurya na kuwaita makatiri kumbe wenzenu wana akili timamu kabisa na wanajuwa hawa viumbe namna ya kudeal nao.Wameshindwa kudhibitika kwa PESA...
.... Sasa ni kipigo tu.. Kipigo tuh..
Hawana Ahsante hawa ..
Sasa yule mchangishaji Michango, Zamaradi vipi kapigwa chini? Hizi fursa zingine hiziKila msiba wa msanii Steve nyerere yupo!! Huyu jamaa noma
[emoji23] [emoji23]inashangaza kwa kweli ....hawa viumbe wamesifiw kukimbia ...now wamepitiliza mpaka kwao ""...
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu kuna wengine wanazimia huku vitambaa wameviningania mkononi..kitu ambacho physiologically hakiwezekani
Sawa wewe mjuvi wa kila kitu,mama ake mwl Nungu, Dada ake Eva Nungu...!!!!Hujui kitu
ila steve.... anayway ngoja niishie hapaKumbe familia ndo imemsihi daah mzee wa fursa keshatudanganya kuwa yeye ndo kambembeleza muna akubali misiba uwe kwa bwana Peter
View attachment 803208
Wana mioyo migumu sana wanawake wa siku hizi hapo tena anatamani angekuwa na watoto wengi wafe ili aendelee kupata comment na pole nyiingi tokea insta. mitandao hiiAiseee hivi umefiwa Na mwanao unapata wapi nguvu ya kupost insta Na kusoma comments!
wanawake wa Siku hizi ......
Usikute hata kamuua mwanae kwa ndumbaAiseee hivi umefiwa Na mwanao unapata wapi nguvu ya kupost insta Na kusoma comments!
wanawake wa Siku hizi ......
Steve Nyeere Mzee wa fursa za misibanimejikuta nacheka tu hiyo post kashaandaa adi ratiba hahha
Hichi kijamaa sijui kikoje..[emoji3][emoji3][emoji3]Kumbe familia ndo imemsihi daah mzee wa fursa keshatudanganya kuwa yeye ndo kambembeleza muna akubali misiba uwe kwa bwana Peter
View attachment 803208
Hii yako ni kali na mpya, tusaidie tumjue baba yake Krish tofauti na Ndiku.Ndo maana uwoya japo anajua Krish sio wa ndiku kaamua kumbabatiza hivyo hvyo kakomaa na ndiku
Kaka uko mjini hapa hapa au...[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] pole sana!!!uliza watoto wa mjini!sema Irene kaamua kukomaa na huyo huyo!Hii yako ni kali na mpya, tusaidie tumjue baba yake Krish tofauti na Ndiku.
Hili linawezekana kwa 100%.Usikute hata kamuua mwanae kwa ndumba
Huyo Casto SI MTOA mbegu bali alikuwa ana saidia tuuu kama angelikuwa mtoa mbengu basi pasingelikalika na pia angekuwa anatoa huduma..Mbona Casto yuko kimya kaka wa watu hajasema chochote waliokua wanaumana ni wao wenyewe mtoa mbegu kakaa kimyaa