Rose Nungu (Munalove), akubali kupeleka msiba nyumbani kwa baba wa Patrick

Huu msemo shetani alinipitia ni wa kibwege sn
Ndio huwa tunautumia nchi za ulimwengu wa tatu kuhalalisha mambo yetu yaani kama vile mtu hajafunga mkanda gari inafunga break ghafla mtu anachomoka kwenye kioo na kufa, watu tunabaki siku zake zimefika tu hata iwe nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…