Rose Shirima hana kosa lolote, mwenye Makosa ni James Getogo kuibua makosa ya serikali/mwajiri wake

James hana maadili ya utumishi wa umma mana Kuna ngazi ya uongozi kama kuna jambo haliopo sawa angelipeleka huko ila hatua ya yeye kurekodi ubishani baina ya yeye na mtumishi mwenzake anatakiwa afukuzwe kazi mala moja maana ametengeneza taharuki isiyo ya lazima.
 
Kwa ututez huu wa kuzunguzunguka itakua una undungu na rose ishu iko hivi robert alitaka apewe mrdt yaan vipimo vya maralia rose ndio mwenye mamlaka hayo rose akampa robert vipimo vya maralia vilivyokwisha muda wa matumiz robert akagoma kwa kulinda uhai wa wateja maana unaweza kumwambia mgonjwa huna maralia akaenda kujifia ila rose akasisitiza robert atumie vipimo hivyo hivyo vikiwa vimekwisha mda na ikibid awapime wajawazito robert akakataa ndio rose akawa mkal nakumrushia maneno ya dharau robert
 
Sasa lengo la kurekodi na kutuma kwenye mitandao ya kijamii ubishani wao wa kitaalam ni nini? Ndio maadili kweli! Au ni kuibua mijadala kwenye jamii kutokuwa na imani na wataalam wao! In short jamaa hana maadili
 
Dhana kwamba eti kutoa taarifa hii ni aibu kwa ofisi au serikali ni potofu na ya kijinga sana. Pili unachanganya kati ya siri (confidential information) za taasisi na kunyamazia uzembe na uvunjwaji wa taratibu za kazi. Mfano kusema tumia vipimo vilivyo expire kupima wajawazito, hata kama in charge wako amekupa hayo maelekezo (ambayo itakuwa verbally kwa sababu na yeye anajua hawezi kukuandikia barua) ni kosa kubwa. Mwisho kwa nini hudhani kwamba pengine ni mwananchi wa kawaida ndiye aliyechukua hiyo video clip? Kwanza kwa jinsi wengi humu wanavyotetea ujinga kwa kichaka cha kuvujisha siri za taasisi sidhani kama ni mtumishi aliyevujisha hiyo video.
 
Aliyerekod alifanya sahihi , video angeipeleka ngazi za juu ( mkuu wao wa kazi ) hapo kituoni Kwa ajili ya utatuz .... Kosa alilolifanya may be kuiweka video public .. hlo ni kosa kubwa sana
Mnapenda sana kuficha maovu yenu yet kila siku mnalia lia kwamba mafisadi wameiba hiki mara kile... Sasa kama hamtaki uzembe uibuliwe basi na mengine mkae kimya. JPM si alitoa nchi kwenye open government and transparency, waandishi wakapigwa pini na wengine kama Azori kupotea mazima? Kaeni gizani mbaki na hizo siri zenu halafu muone panya buku kama watabakiza hata maganda.
 
Vifaa vya kupimia vinatolewa wapi? Tuanzie hapo ili Rose awe na tatizo.
Ikiwa Rose na wengine hupewa vifaa hivyo basi Rose hana kosa.
Na mtu wa maabara amegundua kifaa kilichotumika kupimia malaria hakiko sahihi . Ni wajibu wake kuripoti kwa incharge sio kwa muuguzi, otherwise huyo muuguzi ndio incharge pia.
Mchukua clip ambaye kwa namna fulani huyo wa Maabara au aliyeandaliwa kurekodi Rose alikuwa na njama ovu.
1. Wa kwanza kuwajibika ni incharge
2. Nimtoa vifaa vilivyoisha muda huko stoo.
3. Ni James wa Maabara kwa kurekodi au kumuandaa mtu wa kurekodi na kusambaza hili ni kosa la kimtandao.
4. Ni Rose kwa kutumia lugha isio ya kitaaluma na kubishia taaluma ingine.

Hukumu.
1.Mtoa vifaa kuondolewa kwa kuendelea kutoa vifaa visivyofaa. AFUKUZWE
2. James AFUKUZWE KAZI kwa kukiuka maadili ya kazi kwa kurekodi au kuandaa mtu wa kurekodi mtumishi akiwa kwenye majukumu ya kazi, hususan hilo la afya. Ipo siku atarwkodi wake zetu wakifungua au akiwa chumba cha upasuaji na kusambaza. AFUKUZWE na vyeti vyake KUSHIKILIWA KWANZA.
3. Rose AONYWE au apate barua ya ONYO na kuchunguzwa ikiwa hizo ndio lugha zake AFUKUZWE KAZI.

Ni mimi Bushlawyer
 
Inafikirisha ngoja wataalam wa maadali ya watumishe wa umma waje kutia nyongeza.
 
Huyo James ni mpumbavu mmoja tu..

Mbaya zaidi hakuna kilichokua kime expire..so inaenda kula kwake..
 
Ila umeongea vyema. Maofisini mwetu kuna uhuni na ushenzi mwingi sana ni vile tu haijatoka public. Kama ww ni mfanyakazi wa ofisi yyt private au public nyosha mkono juu kama hakuna vituko, uhuni na ushenzi ofisini kwenu.

Kinachofanyika ni kwamba ya ofisini yanabaki huko kama siri za ofisi haijarishi aliyefanya ni nani. Niliwahi ku record tukio moja ivi ofisi flan baadar nikalifutilia mbali baada ya busara kuniambia kwamba haya matukini common Maofisini. Ni utamaduni usio rasmi.

Alichofanya James ni ushamba na sio weledi kama ulivosrma. Kuna vikao vya ndani na wakuu wa idara kama alivyoelekezwa na Shirima. Hizi ni siri za serikali na kamwe wameapa kutotoa siri za serikali. Kama incharge anafahamu hilo suala maanake linafahamika kwa ngazi kadha wa kadha za juu.
Hata hivo Rose hajamjibu vibaya. Ni shobo tu za James kwani anafahamu fika hilo suala inakuaje amlaumu Rose?

Rose is innocent, arudishwe kazini. Hana baya.
 
Takataka,
imagine wewe mwenyewe unapimwa kwa kutumia expired tools.
Matokeo yaje unagonjwa la kuambukiza Ebora. Unachukulia poa?
Hapa ni usalama kwanza, haijarishi Luna siri za ofisi. Huyo huyo wa ofisini tukukifichia siri akanywa vidoge vilivyo exipire itakuwa poa?
Shirima anyang'anywe veti na afungwe kwa jaribio la kuhatarisha afya ya jamii kwa kigezo cha kutunza siri za ofisi.
Nayo ofisi ijitathimini kama inafaa kugawa vifaa tiba vilivyo expire. Na ifuaatilie waathirika wangapi wamepita mikononi wa Huyu shirima , na fidia iwekwe hadharani kwa Afya ya jamii.
Usimtetee Shirima kwa sababu za kijinga, atakuua .
 
Je kwa ofisi ambazo zina camera au recording material nyingine, utazuiaje kurekodiwa?
Muhimu hapo ni kuzingatia kanuni za utumishi. Ukiwa mahali pa kazi unapaswa kuwa muadilifu wakati wote
 
Huyu jamaa leo kaongea pumba halafu anajinasibu kama mtaalamu wa fasihi. Useless thread
 
Je kwa ofisi ambazo zina camera au recording material nyingine, utazuiaje kurekodiwa?
Muhimu hapo ni kuzingatia kanuni za utumishi. Ukiwa mahali pa kazi unapaswa kuwa muadilifu wakati wote

Uadilifu ni pamoja na huo wa kujibu majibu makali Watu wanaokufuata fuata kukuchokoza.
Hila na njama maofisini ni hatari mno Mkuu
 

Huyo Rose Shirima ndiye anayetoa hivyo vipimo?
Unajua majukumu ya Muuguzi katika hospital
 

Hao Vijana Wawili wamemzingua huyo Binti Kwa nguvu, ilikuwa njama tuu.

Aliyeumbuliwa hapo ni Serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…