Rose Tweve apeleka Milioni 7 Mkoa wa Iringa na kupinga ukatili

Rose Tweve apeleka Milioni 7 Mkoa wa Iringa na kupinga ukatili

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
MHE. ROSE TWEVE APELEKA MILIONI 7 IRINGA, APINGA UKATILI NA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Iringa Mhe. Rose Tweve amendelea na ziara yake ya siku tatu Wilaya ya Iringa mjini lengo likiwa ni uimarishaji wa Chama na Jumuiya, kutunisha mifuko ya wanawake, Elimu dhidi ya mikopo asilimia 4 ya wanawake, Uingizaji Wanachama wapya pamoja na uhakiki daftari la wanachama.

Katika hatua nyingine Mbunge Viti maalum, Mhe. Rose Tweve ametoa Tsh 7,200,000 kwa ajili ya Kata 18 za Iringa Mjini.

Zaidi ya yote Mhe. Tweve amepinga vikali vitendo vya ukatili wa kijinsia dhidi ya Wanawake na kuwataka wanawake kufanya kazi ili kujenga uchumi imara katika Serikali hii inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-04-17 at 16.54.34(3).jpeg
    WhatsApp Image 2023-04-17 at 16.54.34(3).jpeg
    164.2 KB · Views: 5
  • WhatsApp Image 2023-04-17 at 16.54.34(2).jpeg
    WhatsApp Image 2023-04-17 at 16.54.34(2).jpeg
    137.5 KB · Views: 5
  • WhatsApp Image 2023-04-17 at 16.54.34(1).jpeg
    WhatsApp Image 2023-04-17 at 16.54.34(1).jpeg
    129.3 KB · Views: 5
  • WhatsApp Image 2023-04-17 at 16.54.34.jpeg
    WhatsApp Image 2023-04-17 at 16.54.34.jpeg
    130.7 KB · Views: 5
Kwa hyo makada kila kata wamekula lak4 hahahaaaa huyu anajipalilia njia tuuu hakuna lolote jesca washamkataaa wanyalu...
 
Back
Top Bottom