achana na huyu aliyerejesha Pesa """ kilio changu mimi ni huyo wa kwenye avatar yko tumwenewacu you are back again...sijakuona muda. ..umefanya jambo la busara nyaminga. ..ila ungekaa nalo tuu moyoni
hehhh ana shda gan?achana na huyu aliyerejesha Pesa """ kilio changu mimi ni huyo wa kwenye avatar yko tu
siwezi kumwaga mchele hapa kwnye kuku wengi mkuu "" nitakuwa sina nidhamuhehhh ana shda gan?
kma ndo ww kwenye hyo avatar kwann ucfatwe huwez kua siriaziNimemkataa mbaba wa central bank na bihela byake,
Ametuma 500,000 tigo pesa nikamrudishia,
Anapiga sipokei aliendelea usumbufu namsemea kwa mkewe,
Alafu mke wake mzuriii sijui anatafta nini kwangu
Naomba nikupe namba zangu utume hukuNimemkataa mbaba wa central bank na bihela byake,
Ametuma 500,000 tigo pesa nikamrudishia,
Anapiga sipokei aliendelea usumbufu namsemea kwa mkewe,
Alafu mke wake mzuriii sijui anatafta nini kwangu
Nami nahisi kama weweIsijekuwa wakati muamala wa Pedeshee unaingia bwana wako ndio akawa mtu wa kwanza kusoma Ujumbe kwenye simu yako...
Kutokana na mambo kuwa moto ukaamua kuua soo ikabidi urudishe mkwanja.
Nitakutumia 10k nione kama utarudisha nakuja PM
Vipi we ukipewa utazirudishaUngekula bila kuliwa Ndyo ningekuona strong!!!
Thubutuuuu!!! Za mkononi Ndyo sipokei!! usawa huu wa Magu ningeozea tofali kibanda changu huko Mvuti.Vipi we ukipewa utazirudisha
...Alafu mke wake mzuriii sijui anatafta nini kwangu